Spika amvaa Mwigulu bungeni kushindwa kujibu swali la Mpina

Nizile za makinikia au ni zipi hizi, na Mpina mpaka anaziulizia WENDA Kuna Jambo , au walishapigwa pesa kuwazima na kununulia mabasi
 
Spika atapigiwa simu na Mama kisha atakuwa mpole na mujibu ya maana hayatapatikana.
 
Mwigulu ana ishi kimaarifa maarifa. Mama ana muona bonge la waziri. Kumbe nigarasha
 
Jaji Mkuu anahangaika na kesi za Mbowe na Mdee, kesi za mauaji na Kodi hana habari nazo, anatafuta sifa za kisiasa
 
Hazipo kwenye nini, trilioni 360 haziko kwenye traabu na traat, mashauri haya ya kikodi yaya yayayayyayayayayayayayayayayayayayayayayayayyayayayayay trab na trat. Hilo jibu la Dr wa Tozo. Ndo maana kumbe njia pekee ya mapato ni tozo
 
 
Eti mwigulu nae ni waziri Tena wa feza ongezea na mipango mipango yenyewe ya selikali maajaabu hayawezi kuicha nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…