Spika Anne Makinda sasa analiendesha Bunge KIIMLA!

Spika Anne Makinda sasa analiendesha Bunge KIIMLA!

Hata kama mie sio mtalaamu sana katika masuala ya Bunge na Sheria, lakini tatizo la msingi kwangu naona sio Makinda bali Kanuni za Bunge. Labda kinachokosekana kwa Mama Anne Makinda ni ukosefu wa kutumia busara...kwamba, kila wakati anataka kutumia Kanuni za Bunge hata sehemu ambapo pengine busara ingetumika zaidi.
hata hizo kanuni walizotengeneza wenyewe wanazikana kwenye vikao (wanakiuka), kwa hiyo bado tatizo sio kanuni, tatizo ni uspika wa kuendeshwa kwa remote.
 
hata hizo kanuni walizotengeneza wenyewe wanazikana kwenye vikao (wanakiuka), kwa hiyo bado tatizo sio kanuni, tatizo ni uspika wa kuendeshwa kwa remote.

Hata kama siwezi kukataa hoja yako moja kwa moja, lakini bado naamini Kanuni za Bunge ni Tatizo!! Unajua kuna mambo mengi sana yanaonekana ya hovyo hovyo mno wakati mambo hayo yapo kwa mujibu wa sheria!! Na kama tukiweka ushabiki pembeni, mara nyingi Makinda anakuwaga RIGHT basing on those WORTHLESS PRINCIPLES! Wanachotakiwa upinzani ni kukazania kubadilishwa kwa kanuni zinazoonekana za hovyo hovyo with regard to the existing political sphere!
Sana sana ninachokiona kwa Makinda katika dunia ya kawaida(Real World) ni pale dereva unapokumbana na ama Traffic Police wa kike au wa kiume!! Madereva wanafahamu, ni heri ukumbane na Traffic wa kiume kuliko wa kike...!! Na si kwamba hao Traffic wa kike wanakuwa wamemuonea muhusika, la hasha....tatizo ni ile hali ya kutotoa nafasi for compromise!! Sometime, may be the issue of Inferiority Complex nayo ina-play part!
 
Rutashubanyuma kaweka vielelezo kibao vya kuonyesha kwamba Makinda hana uwezo, wewe unakuja na sentensi moja tu ya kusema anaweza bila ya kufafanua hoja zilizoletwa na mtoa mada. Huu nao ni mfano wa uwezo mdogo wa wanaCCM kuchambua mambo. Matatizo makubwa kama ya ukosefu wa democrasia bungeni mnayasolve kwa kufuta kuonyesha bunge live. Huo ni wehu. Kama ni hivyo bora na sisi wananchi tugome kuwapigia kura wabunge.

Sijaona hata kimoja ambacho kinaonesha kuwa Anne Makinda si mchapa kazi. Nnachokiona ni kumponda bila vigezo.
 
hata hizo kanuni walizotengeneza wenyewe wanazikana kwenye vikao (wanakiuka), kwa hiyo bado tatizo sio kanuni, tatizo ni uspika wa kuendeshwa kwa remote.

zumbemkuu unapojiwekea kanuni na huzifuati jawabu ni kuwajibika mwenyewe usisubiri kuwajibishwa..........kama Anne anaona kanuni zina walakini apendekeze zirekebishwe siyo kuzipindua atakavyo.....................this is anarchy, period!
 
Sijaona hata kimoja ambacho kinaonesha kuwa Anne Makinda si mchapa kazi. Nnachokiona ni kumponda bila vigezo.

zomba uwe mkweli maneneo kumi nimyeyainisha yabeze kwanza kabla ya kumtetea bila ya kujibu khoja zilizopo mezani hapa..........
 
Hata kama siwezi kukataa hoja yako moja kwa moja, lakini bado naamini Kanuni za Bunge ni Tatizo!! Unajua kuna mambo mengi sana yanaonekana ya hovyo hovyo mno wakati mambo hayo yapo kwa mujibu wa sheria!! Na kama tukiweka ushabiki pembeni, mara nyingi Makinda anakuwaga RIGHT basing on those WORTHLESS PRINCIPLES! Wanachotakiwa upinzani ni kukazania kubadilishwa kwa kanuni zinazoonekana za hovyo hovyo with regard to the existing political sphere!
Sana sana ninachokiona kwa Makinda katika dunia ya kawaida(Real World) ni pale dereva unapokumbana na ama Traffic Police wa kike au wa kiume!! Madereva wanafahamu, ni heri ukumbane na Traffic wa kiume kuliko wa kike...!! Na si kwamba hao Traffic wa kike wanakuwa wamemuonea muhusika, la hasha....tatizo ni ile hali ya kutotoa nafasi for compromise!! Sometime, may be the issue of Inferiority Complex nayo ina-play part!

NasDaz kwa mtu mkorofi kama Anne hata uziandike kanuni vipi atatoa tafsiri anavyoona yeye atanufaika na hivyo kuashira vurugu ka mfano kanuni za sasa zinazipa kamati husika za bunge kufanya maamuzi yeye akiona kwenye kamati husika akiwapelekea masuala hawataleta majibu ayatakayo anaanzisha kamati maalumu na anateua akina brigedia Ngwilizi ambao kwa uchakachuaji ndiyo wataaalamu.......she is a monster to put it mildly...
 
Hata kama mie sio mtalaamu sana katika masuala ya Bunge na Sheria, lakini tatizo la msingi kwangu naona sio Makinda bali Kanuni za Bunge. Labda kinachokosekana kwa Mama Anne Makinda ni ukosefu wa kutumia busara...kwamba, kila wakati anataka kutumia Kanuni za Bunge hata sehemu ambapo pengine busara ingetumika zaidi.

NasDaz tatizo la makinda kanuni hazielewi au kwa makusudi hazifuati anapenda kuegemea u-CCM wake badala ya kutenda haki. Mimi ni CCM lakini kwa upinzani dhuluma yake naiona!
 
Unless you address the underlying cause ya watu kuiba utajaza magereza kwa kufunga watu wezi na kujenga mengine mapya.

Is that what you really want to do?

Kwa nini tunapenda sana ku-avoid the underlying causes of our problems?

Kwa nini tunapenda sana kutumia short cuts to address our fundamental problems?

Kweli udhani kabisa tatizo hapa ni Makinda na akiondolewa kwenye kiti cha uspika basi mambo yatakuwa super? Really?

EMT only the re-engineering of the constitution can address anomalies that we now see in the Augusta House..........and the dismissal of Speaker Makinda may highlight the magnitude of the problem............
 
Makinda aliwekwa pale kwa maslahi ya watawala,bila kuzingatia weledi na uwezo wake kiuongozi,kwa kigezo kwamba yeye ni mwanamke na ni wakati wa bunge kuongozwa na spika mwanamke!
Despite the weakness ya kwenye mfumo mzima wa bunge,spika aliyepita,Samuel Sitta alijitahidi kuongoza bunge kwa kufuata kanuni na sheria.
Ni kweli,Makinda pia ni kigezo kikubwa cha kuporomoka kwa kasi kwa ufanisi wa bunge hili mkuu EMT.

Kama aliwekwa pale kwa maslahi ya watawala, then tatizo ni yeye au waliommweka?
 
EMT tatizo si katiba tu bali mkanganyiko ulioko kwenye kanuni zenyewe za Bunge na uwezo wa Spika kuhimili mashambulizi dhidi ya chama chake cha CCM!!
 
Last edited by a moderator:
EMT tatizo si katiba tu bali mkanganyiko ulioko kwenye kanuni zenyewe za Bunge na uwezo wa Spika kuhimili mashambulizi dhidi ya chama chake cha CCM!!

Kwa hiyo kiini cha tatizo ni mkanganyiko wa kanuni za bunge?

Kuhusu uwezo wa spika kuhimili mashambulizi dhidi ya chama chake si mnadai aliwekwa pale kwa kwa maslahi ya chama chake?
 
Kwa hiyo kiini cha tatizo ni mkanganyiko wa kanuni za bunge?

Kuhusu uwezo wa spika kuhimili mashambulizi dhidi ya chama chake si mnadai aliwekwa pale kwa kwa maslahi ya chama chake?
EMT unaposema "chama chake" unaamanisha kundi la wanamtandao ndani ya CCM au unamaanisha CCM yenyewe? Mkanganyiko wa kanuni umesababishwa na tabia ya wasomi wetu wa kupachikapachika vitu bila ya kuchakata suala zima lenye utatizi.
 
Last edited by a moderator:
EMT unaposema "chama chake" unaamanisha kundi la wanamtandao ndani ya CCM au unamaanisha CCM yenyewe?

Nikuulize wewe maana nimetumia maneno uliyotumia kwneye post yako ya awali ambapo umesema "...tatizo si katiba tu bali mkanganyiko ulioko kwenye kanuni zenyewe za Bunge na uwezo wa Spika kuhimili mashambulizi dhidi ya chama chake cha CCM!!"

Hapo kwenye red ulikuwa na maana ipi?


Mkanganyiko wa kanuni umesababishwa na tabia ya wasomi wetu wa kupachikapachika vitu bila ya kuchakata suala zima lenye utatizi.

Kwa hiyo kiini cha tatizo siyo tena kanuni bali ni "tabia ya wasomi wetu kupachikapachika vitu bila ya kuchakata suala zima lenye utatizi"?
 
Nikuulize wewe maana nimetumia maneno uliyotumia kwneye post yako ya awali ambapo umesema "...tatizo si katiba tu bali mkanganyiko ulioko kwenye kanuni zenyewe za Bunge na uwezo wa Spika kuhimili mashambulizi dhidi ya chama chake cha CCM!!"

Hapo kwenye red ulikuwa na maana ipi?

Kwa hiyo kiini cha tatizo siyo tena kanuni bali ni "tabia ya wasomi wetu kupachikapachika vitu bila ya kuchakata suala zima lenye utatizi"?

Niliposema "chama chake" nilimaanisha jinsi anavyoilinda serikali inayotokana na CCM, lakini wewe unaposema "amewekwa" na chama chake inawezekana ina maana nyingine kabisa. Kwa sababu siamini watu kama Sitta, Mwakyembe na wafananao walikubaliana na "kuwekwa" kwa Makinda.

Tatizo ni mkanganyiko wa kanuni na mkanganyiko huo umesababishwa na upachikaji wa mambo usiofuata kanuni cha michakato ya kutatua tatizo. Tatizo letu lilikuwa ni kulirekebisha Bunge letu kuachana na kanuni zilizokuwa zinatumiwa na Bunge la enzi za chama kimoja na lile la mwanzoni mwa kuingia kwa mfumo wa vyama vingi. Lakini wasomi wetu badala ya kutatua tatizo wao wakapachikapachika mifumo mingi sana kuanzia ile ya Westminster mpaka ya bunge la Malaysia!
 
Niliposema "chama chake" nilimaanisha jinsi anavyoilinda serikali inayotokana na CCM, lakini wewe unaposema "amewekwa" na chama chake inawezekana ina maana nyingine kabisa. Kwa sababu siamini watu kama Sitta, Mwakyembe na wafananao walikubaliana na "kuwekwa" kwa Makinda.

Kama akina Sitta, Mwakyembe na wafananao hawakukubaliana na kuwekwa kwa Mkinda, mbona hawajawahi kulisema hili?

Tatizo ni mkanganyiko wa kanuni na mkanganyiko huo umesababishwa na upachikaji wa mambo usiofuata kanuni cha michakato ya kutatua tatizo. Tatizo letu lilikuwa ni kulirekebisha Bunge letu kuachana na kanuni zilizokuwa zinatumiwa na Bunge la enzi za chama kimoja na lile la mwanzoni mwa kuingia kwa mfumo wa vyama vingi. Lakini wasomi wetu badala ya kutatua tatizo wao wakapachikapachika mifumo mingi sana kuanzia ile ya Westminster mpaka ya bunge la Malaysia!

Naona bado unajichanganya. Mwanzoni umesema tatizo ni kanuni. Then ukasema tatizo ni "tabia ya wasomi wetu kupachikapachika vitu bila ya kuchakata suala zima lenye utatizi".

Lakini pamoja na hayo, kama kanuni zikirekebishwa basi hayo yote yaliyotokea, hayatokea tena?

Kiini cha tatizo ni nini hasa? Ni kanuni?
 
Kama aliwekwa pale kwa maslahi ya watawala, then tatizo ni yeye au waliommweka?

Tatizo ni wote!!
Kwa kuwa taratibu za kumwondoa spika zipo,ndiyo maana tuna demand anguko lake wakati huu;hao walio muweka tutashughulika nao 2015.
 
EMT nimesema tatizo ni kanuni lakini kanuni udhaifu wake ndiyo umesababishwa na wasomi wetu kupachikapachika mambo bila ya kutafuta utatuzi wa tatizo liliopo!! Tatizo letu ni bunge kuakisi uchama na kulitatua ni kutumia uasili wetu kuweka misingi ya kulijali zaidi taifa kuliko vyama au maslahi yetu!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo tatizo ni katiba?

EMT yapo matatizo mahsusi kwa haiba ya tabia yahuyu mama kutokana malezi mabaya aliyoyapata ya mfumo wa chama kimoja na ukiritimba wake na hana maandalizi ya kupambana na mfumo wa vyamavingi na ndiyo maana anatumia ubabe kama nilivyobaini hapo awali.........matatizo ya kikatiba hata kama yakitatuliwa huu ubabe hautakwisha getting rid of her may be a point to begin with.
 
Back
Top Bottom