ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Huyo aigpii mbona kama majukumu yalishamshinda muda mrefu, kama msimamizi wa usalama na utoaji haki, ama kwa kujua kwa maslahi ayajuayo ama kwakutokujua kwakuwa amezidiwa nguvu na mfumo anaousimamia. Hivyo hata kumwongezea majukumu hayo na anayetaka kumwongezea majukumu wote ni wacheza filamu na wote wamezidiwa na wanashindwa kuyahimili majukumu yao.Nafurahi ninapoona mihimili inakinzana na hii inaonesha kweli Kuna separation of power.huyo
Nimeshangaa Leo Spika anamlaumu Siro kwa kutokumkamata Gwajima, na ametishia kuwaleta maadili Siro Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanasheria Mkuu, hii ni nzuri kwakuwa mihimili Sasa inanguvu sawa, ndo inavotakiwa na hata ikiwezekana kesho chief judge aongee yake.
Msikilize spika hapa chini ndugai
Kwa kuwa sehemu ya wabambikaji mengi huwezi kuyaona kwakuwa unamanufaa nayo.hakuna sehemu alipomtaja AGP hvgo vichanell vyenu uchwara vya youtube ndio maana mwendazake alikua anavipiga ban
hahahahakuna sehemu alipomtaja IGP hvyo vichanell vyenu uchwara vya youtube ndio maana mwendazake alikua anavipiga ban
Subwoofer anamchimbia mkwara anayempa jehuri ya yeye kuwapo hapo Aah!! Mkumbushe bila yeye asingekuwa hapo anabishaa au kasahau?Nafurahi ninapoona mihimili inakinzana na hii inaonesha kweli Kuna separation of power.
Nimeshangaa Leo Spika anamlaumu Siro kwa kutokumkamata Gwajima, na ametishia kuwaleta maadili Siro Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanasheria Mkuu, hii ni nzuri kwakuwa mihimili Sasa inanguvu sawa, ndo inavotakiwa na hata ikiwezekana kesho chief judge aongee yake.
Msikilize spika hapa chini ndugai
Kwa mara ya kwanza Spika amenikosha!Nafurahi ninapoona mihimili inakinzana na hii inaonesha kweli Kuna separation of power.
Nimeshangaa Leo Spika anamlaumu Siro kwa kutokumkamata Gwajima, na ametishia kuwaleta maadili Siro Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanasheria Mkuu, hii ni nzuri kwakuwa mihimili Sasa inanguvu sawa, ndo inavotakiwa na hata ikiwezekana kesho chief judge aongee yake.
Msikilize spika hapa chini ndugai
Huyu anasumbuliwa na matumizi ya mda mrefu ya arv za wamarekaniNafurahi ninapoona mihimili inakinzana na hii inaonesha kweli Kuna separation of power.
Nimeshangaa Leo Spika anamlaumu Siro kwa kutokumkamata Gwajima, na ametishia kuwaleta maadili Siro Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanasheria Mkuu, hii ni nzuri kwakuwa mihimili Sasa inanguvu sawa, ndo inavotakiwa na hata ikiwezekana kesho chief judge aongee yake.
Msikilize spika hapa chini ndugai
Kama huna akili ya kudadavua na ku read between the lines, hilo litabaki kuwa tatizo lako.hakuna sehemu alipomtaja IGP hvyo vichanell vyenu uchwara vya youtube ndio maana mwendazake alikua anavipiga ban
Jamaa Ana biti Ila hatakagi utani alimchezeshea CAG those timeKama huna akili ya kudadavua na ku read between the lines, hilo litabaki kuwa tatizo lako.
hakuna sehemu alipomtaja IGP hvyo vichanell vyenu uchwara vya youtube ndio maana mwendazake alikua anavipiga ban