Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Pwagu na Pwaguzi.....Futuhi....Ndiyo ni Futuhi.Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, ameibana serikali kuhusiana na suala la ajira kwa vijana wanaojitolea katika taasisi mbalimbali za umma. Akizungumza bungeni, leo Oktoba 29, 2024 Dkt. Tulia alisisitiza kuwa vijana hawa wanatoa mchango mkubwa kwa nchi, hivyo ni muhimu kwa serikali kuzingatia maslahi yao na kuhakikisha wanapata fursa za ajira rasmi.
Anapambana issue nyepesi.....hana jipya...asubiri maswali magumu jimboniSpika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, ameibana serikali kuhusiana na suala la ajira kwa vijana wanaojitolea katika taasisi mbalimbali za umma. Akizungumza bungeni, leo Oktoba 29, 2024 Dkt. Tulia alisisitiza kuwa vijana hawa wanatoa mchango mkubwa kwa nchi, hivyo ni muhimu kwa serikali kuzingatia maslahi yao na kuhakikisha wanapata fursa za ajira rasmi.
Wasengerema tu hao mkuu...mtu ana watu wake analazimisha waajiriwe..Huyu spika ana watu wake anataka kulazimisha waajiriwe. Hiyo kujitolea ilitangazwa wapi, ni aibu spika kushiriki ktk madili ya hovyo yenye harufu ya ubaguzi na rushwa. Km ulijitolea iishie hapo isiwe km mbinu ya kulazimisha kuajiriwa kabla ya waliokutangulia kumaliza chuo.