Spika Dkt.Tulia Ackson ana uelewa mkubwa sana wa masuala ya kisheria

Spika Dkt.Tulia Ackson ana uelewa mkubwa sana wa masuala ya kisheria

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kama ni uchawa basi mm niko tayari kuwa chawa wake, ni kama Maria Sarungi alivyo chawa wa Tundu Lissu au God bless Lema alivyo chawa kwa Mbowe, mimi ni chawa wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanini, nimekuwa nafatilia sana shughuli za bunge na leo asbh naangalia kipindi cha maswali na majibu bungeni, kiukweli huyu dada mungu ambariki sana.

Hoja yoyote ya kisheria ana uwezo wa kuitolea ufafanuzi hata chizi akamwelewa kwa lugha nyepesi tu.

Ni msomi lakini huwezi kumsikia Dkt.Tulia akiongea kwa kuchanganya kimombo na kiswahili.

Dada huyu nguli wa sheria hana majivuno kama Tundu Lissu, hana majivuno kama Peter Kibatala, hana majivuno kama yule mwehu Mwabukusi, hana majivuno kama Wakili Madeleke anayetetea dada poa.

Hana upendeleo pia katika kujibu, leo ameulizwa swali na ester matiko kwanini bunge linaendelea halafu kiongozi wa serikali hayupo bungeni.

Ametolea ufafanuzi mzuri mwongozo huo na ameikemea serikali kuwa utaratibu huo sio mzuri.

Hatumii nguvu kama Tundu Lissu, Lissu akiongea povu linamtoka utadhani yuko na demu wake Maria.
Hongera sana spika, moja ya maspika wenye weledi mkubwa wa kisheria.

Halafu eti Sugu anachukua fomu kugombea dhidi ya msomi huyo, aibu kubwa naiona mimi
 
Kama ni uchawa basi mm niko tayari kuwa chawa wake, ni kama Maria Sarungi alivyo chawa wa Tundu Lissu au God bless Lema alivyo chawa kwa Mbowe, mimi ni chawa wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanini, nimekuwa nafatilia sana shughuli za bunge na leo asbh naangalia kipindi cha maswali na majibu bungeni, kiukweli huyu dada mungu ambariki sana.

Hoja yoyote ya kisheria ana uwezo wa kuitolea ufafanuzi hata chizi akamwelewa kwa lugha nyepesi tu.

Ni msomi lakini huwezi kumsikia Dkt.Tulia akiongea kwa kuchanganya kimombo na kiswahili.

Dada huyu nguli wa sheria hana majivuno kama Tundu Lissu, hana majivuno kama Peter Kibatala, hana majivuno kama yule mwehu Mwabukusi, hana majivuno kama Wakili Madeleke anayetetea dada poa.

Hana upendeleo pia katika kujibu, leo ameulizwa swali na ester matiko kwanini bunge linaendelea halafu kiongozi wa serikali hayupo bungeni.

Ametolea ufafanuzi mzuri mwongozo huo na ameikemea serikali kuwa utaratibu huo sio mzuri.

Hatumii nguvu kama Tundu Lissu, Lissu akiongea povu linamtoka utadhani yuko na demu wake Maria.
Hongera sana spika, moja ya maspika wenye weledi mkubwa wa kisheria.

Halafu eti Sugu anachukua fomu kugombea dhidi ya msomi huyo, aibu kubwa naiona mimi
Wewe ni kunguni kabisa wa huyo Rango
 
Kama ni uchawa basi mm niko tayari kuwa chawa wake, ni kama Maria Sarungi alivyo chawa wa Tundu Lissu au God bless Lema alivyo chawa kwa Mbowe, mimi ni chawa wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanini, nimekuwa nafatilia sana shughuli za bunge na leo asbh naangalia kipindi cha maswali na majibu bungeni, kiukweli huyu dada mungu ambariki sana.

Hoja yoyote ya kisheria ana uwezo wa kuitolea ufafanuzi hata chizi akamwelewa kwa lugha nyepesi tu.

Ni msomi lakini huwezi kumsikia Dkt.Tulia akiongea kwa kuchanganya kimombo na kiswahili.

Dada huyu nguli wa sheria hana majivuno kama Tundu Lissu, hana majivuno kama Peter Kibatala, hana majivuno kama yule mwehu Mwabukusi, hana majivuno kama Wakili Madeleke anayetetea dada poa.

Hana upendeleo pia katika kujibu, leo ameulizwa swali na ester matiko kwanini bunge linaendelea halafu kiongozi wa serikali hayupo bungeni.

Ametolea ufafanuzi mzuri mwongozo huo na ameikemea serikali kuwa utaratibu huo sio mzuri.

Hatumii nguvu kama Tundu Lissu, Lissu akiongea povu linamtoka utadhani yuko na demu wake Maria.
Hongera sana spika, moja ya maspika wenye weledi mkubwa wa kisheria.

Halafu eti Sugu anachukua fomu kugombea dhidi ya msomi huyo, aibu kubwa naiona mimi
Umekosea ndugu. Unafikiri kua mwanasheria au kua mwanasheria mzuri ndio kupenda haki? Ujue wanasheria hutumia weledi wao kutoa haki au kunyima haki. Tulia Ackson ni muomini wa ubinafsi wala sio mtetezi wa maslahi ya umma. Mfano mzuri ni jinsi alivyotumia ujuzi wake wa sheria kufunika kombe mwanaharamu apite kwenye hili suala la Mpina. Badala ya kuzingatia hoja iliyoletwa na Mpina kwa maslahi mapana ya wananchi akapiga tik tak kupotezea na kumtia hatiani mleta hoja.
 
Kuwa mzuri katika jambo flani haimaniishi kwamba yeye ni mtakatifu pale panapokuwa na migogoro ya kimaslahi lazima mzani utaegemea upande mmoja utakao favor waliomuweka katika hicho kiti.
 
Kama ni uchawa basi mm niko tayari kuwa chawa wake, ni kama Maria Sarungi alivyo chawa wa Tundu Lissu au God bless Lema alivyo chawa kwa Mbowe, mimi ni chawa wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanini, nimekuwa nafatilia sana shughuli za bunge na leo asbh naangalia kipindi cha maswali na majibu bungeni, kiukweli huyu dada mungu ambariki sana.

Hoja yoyote ya kisheria ana uwezo wa kuitolea ufafanuzi hata chizi akamwelewa kwa lugha nyepesi tu.

Ni msomi lakini huwezi kumsikia Dkt.Tulia akiongea kwa kuchanganya kimombo na kiswahili.

Dada huyu nguli wa sheria hana majivuno kama Tundu Lissu, hana majivuno kama Peter Kibatala, hana majivuno kama yule mwehu Mwabukusi, hana majivuno kama Wakili Madeleke anayetetea dada poa.

Hana upendeleo pia katika kujibu, leo ameulizwa swali na ester matiko kwanini bunge linaendelea halafu kiongozi wa serikali hayupo bungeni.

Ametolea ufafanuzi mzuri mwongozo huo na ameikemea serikali kuwa utaratibu huo sio mzuri.

Hatumii nguvu kama Tundu Lissu, Lissu akiongea povu linamtoka utadhani yuko na demu wake Maria.
Hongera sana spika, moja ya maspika wenye weledi mkubwa wa kisheria.

Halafu eti Sugu anachukua fomu kugombea dhidi ya msomi huyo, aibu kubwa naiona mimi
Kataa uchawa.
 
Kama ni uchawa basi mm niko tayari kuwa chawa wake, ni kama Maria Sarungi alivyo chawa wa Tundu Lissu au God bless Lema alivyo chawa kwa Mbowe, mimi ni chawa wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanini, nimekuwa nafatilia sana shughuli za bunge na leo asbh naangalia kipindi cha maswali na majibu bungeni, kiukweli huyu dada mungu ambariki sana.

Hoja yoyote ya kisheria ana uwezo wa kuitolea ufafanuzi hata chizi akamwelewa kwa lugha nyepesi tu.

Ni msomi lakini huwezi kumsikia Dkt.Tulia akiongea kwa kuchanganya kimombo na kiswahili.

Dada huyu nguli wa sheria hana majivuno kama Tundu Lissu, hana majivuno kama Peter Kibatala, hana majivuno kama yule mwehu Mwabukusi, hana majivuno kama Wakili Madeleke anayetetea dada poa.

Hana upendeleo pia katika kujibu, leo ameulizwa swali na ester matiko kwanini bunge linaendelea halafu kiongozi wa serikali hayupo bungeni.

Ametolea ufafanuzi mzuri mwongozo huo na ameikemea serikali kuwa utaratibu huo sio mzuri.

Hatumii nguvu kama Tundu Lissu, Lissu akiongea povu linamtoka utadhani yuko na demu wake Maria.
Hongera sana spika, moja ya maspika wenye weledi mkubwa wa kisheria.

Halafu eti Sugu anachukua fomu kugombea dhidi ya msomi huyo, aibu kubwa naiona mimi
Rasmi sasa umechukua nafasi ya Lucas Mwashambwa kusifia sifia ujinga.
 
Kama ni uchawa basi mm niko tayari kuwa chawa wake, ni kama Maria Sarungi alivyo chawa wa Tundu Lissu au God bless Lema alivyo chawa kwa Mbowe, mimi ni chawa wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwanini, nimekuwa nafatilia sana shughuli za bunge na leo asbh naangalia kipindi cha maswali na majibu bungeni, kiukweli huyu dada mungu ambariki sana.

Hoja yoyote ya kisheria ana uwezo wa kuitolea ufafanuzi hata chizi akamwelewa kwa lugha nyepesi tu.

Ni msomi lakini huwezi kumsikia Dkt.Tulia akiongea kwa kuchanganya kimombo na kiswahili.

Dada huyu nguli wa sheria hana majivuno kama Tundu Lissu, hana majivuno kama Peter Kibatala, hana majivuno kama yule mwehu Mwabukusi, hana majivuno kama Wakili Madeleke anayetetea dada poa.

Hana upendeleo pia katika kujibu, leo ameulizwa swali na ester matiko kwanini bunge linaendelea halafu kiongozi wa serikali hayupo bungeni.

Ametolea ufafanuzi mzuri mwongozo huo na ameikemea serikali kuwa utaratibu huo sio mzuri.

Hatumii nguvu kama Tundu Lissu, Lissu akiongea povu linamtoka utadhani yuko na demu wake Maria.
Hongera sana spika, moja ya maspika wenye weledi mkubwa wa kisheria.

Halafu eti Sugu anachukua fomu kugombea dhidi ya msomi huyo, aibu kubwa naiona mimi
Huyo Tulia hajawahi kupata nafasi yoyote bila Kubebwa.....Uelewa wake unaosema hapa ni wa mashaka sana
 
Back
Top Bottom