Spika Dkt. Tulia awatembelea hospitali Wabunge majeruhi wa basi

Spika Dkt. Tulia awatembelea hospitali Wabunge majeruhi wa basi

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amewajulia hali baadhi ya Wabunge majeruhi, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam, waliopata ajali ya gari mkoani Dodoma wakati wakielekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mombasa nchini Kenya Disemba 6, 2024.
View attachment 3173064
Dkt. Tulia alifika katika Hospitali hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene.
View attachment 3173066
Dkt. Tulia amewapa pole Wabunge waliojeruhiwa na kuwatakia uponaji wa haraka ili waweze kurejea katika majukumu yao ya kila siku.
Huyu mama alijua tu baada ya kusema yeye abaki abaki lazima kuna vibibi vya Ghamboshi vitamtest bahati nzuri hamna watu wamezindikwa kuzidi wanasiasa wa Bongo land..
 
Tujue majina yao
1. Florent Kiombo- Nkenge
2. Asia Abdulkarim Halamga- Viti Maalum, Manyara
3. Nicodemus Maganga- Mbogwe
4. Grace Tendega- Viti Maalum- Iringa
5. Suma Ikenda Fyandomo- Viti Maalum- Mbeya
6. Zulfa Mmaka Omar- Viti Maalum- Kusini, Pemba
7. Nicholaus Ngassa- Igunga
8. Juliana Shonza- Viti Maalum- Songwe
9. Catherine Magige- Viti Maalum Arusha
10. Shamsia Azziz- Viti Maalum- Mtwara
11. Abdul Yusuph- mbunge wa kuteuliwa
12. Jesca Msambatavangu- mbunge wa Iringa mjini
13. Saasisha Mafue- Mbunge wa Hai
14. Boniface Butondo- mbunge wa Kishapu
15. ...
16. ....


View: https://x.com/AbroadTanzania/status/1865427331512492372?t=sfIyxRXSvAG95too4MJyaA&s=19
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amewajulia hali baadhi ya Wabunge majeruhi, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam, waliopata ajali ya gari mkoani Dodoma wakati wakielekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mombasa nchini Kenya Disemba 6, 2024.
View attachment 3173064
Dkt. Tulia alifika katika Hospitali hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene.
View attachment 3173066
Dkt. Tulia amewapa pole Wabunge waliojeruhiwa na kuwatakia uponaji wa haraka ili waweze kurejea katika majukumu yao ya kila siku.
Sasa bado wanafanya nini huko!
 
Huenda ile ajali ilikuwa kubwa kuliko ilivyoripotiwa. Sema Mungu ana maajabu yake yaani hadi sasa hakuna jimbo lililoachwa wazi?
Kwa mitusi ile unadhani media gani ingeripoti zaidi?
 
1. Florent Kiombo- Nkenge
2. Asia Abdulkarim Halamga- Viti Maalum, Manyara
3. Nicodemus Maganga- Mbogwe
4. Grace Tendega- Viti Maalum- Iringa
5. Suma Ikenda Fyandomo- Viti Maalum- Mbeya
6. Zulfa Mmaka Omar- Viti Maalum- Kusini, Pemba
7. Nicholaus Ngassa- Igunga
8. Juliana Shonza- Viti Maalum- Songwe
9. Catherine Magige- Viti Maalum Arusha
10. Shamsia Azziz- Viti Maalum- Mtwara
11. Abdul Yusuph- mbunge wa kuteuliwa
12. Jesca Msambatavangu- mbunge wa Iringa mjini
13. Saasisha Mafue- Mbunge wa Hai
14. Boniface Butondo- mbunge wa Kishapu
15. ...
16. ....
Asante sana mkuu. Tunawaweka kwenye maombi.
 
Back
Top Bottom