Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Hata picha ya huyo mmoja imepigwa kinamna. Wanaepusha taharuki majimboni.Wabunge waliopata ajali hawana majina.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata picha ya huyo mmoja imepigwa kinamna. Wanaepusha taharuki majimboni.Wabunge waliopata ajali hawana majina.?
Huyu mama alijua tu baada ya kusema yeye abaki abaki lazima kuna vibibi vya Ghamboshi vitamtest bahati nzuri hamna watu wamezindikwa kuzidi wanasiasa wa Bongo land..Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amewajulia hali baadhi ya Wabunge majeruhi, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam, waliopata ajali ya gari mkoani Dodoma wakati wakielekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mombasa nchini Kenya Disemba 6, 2024.
View attachment 3173064
Dkt. Tulia alifika katika Hospitali hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene.
View attachment 3173066
Dkt. Tulia amewapa pole Wabunge waliojeruhiwa na kuwatakia uponaji wa haraka ili waweze kurejea katika majukumu yao ya kila siku.
Basi na habari zao za ajali hatutaki kuzisikiaHata picha ya huyo mmoja imepigwa kinamna. Wanaepusha taharuki majimboni.
Mostly ni wa viti maalum. Walikuwa wanaenda Mombasa kwa kazi maalumWabunge waliopata ajali hawana majina.?
AjabuWabunge waliopata ajali hawana majina.?
Tujue majina yaoMostly ni wa viti maalum. Walikuwa wanaenda Mombasa kwa kazi maalum
1. Florent Kiombo- NkengeTujue majina yao
Sasa bado wanafanya nini huko!Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amewajulia hali baadhi ya Wabunge majeruhi, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam, waliopata ajali ya gari mkoani Dodoma wakati wakielekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mombasa nchini Kenya Disemba 6, 2024.
View attachment 3173064
Dkt. Tulia alifika katika Hospitali hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene.
View attachment 3173066
Dkt. Tulia amewapa pole Wabunge waliojeruhiwa na kuwatakia uponaji wa haraka ili waweze kurejea katika majukumu yao ya kila siku.
Ni mcheza netball sasa sijui kwanini hakusafiri na hilo bus?!Kwani tulia anacheza mchezo gani, mdako au rede?
Halima mdee.Wabunge waliopata ajali hawana majina.?
Kwa mitusi ile unadhani media gani ingeripoti zaidi?Huenda ile ajali ilikuwa kubwa kuliko ilivyoripotiwa. Sema Mungu ana maajabu yake yaani hadi sasa hakuna jimbo lililoachwa wazi?
Uungwana una thamani na heshima kuliko cheo.Kwa mitusi ile unadhani media gani ingeripoti zaidi?
Kuliko hatq mitusiUungwana una thamani na heshima kuliko cheo.
Ukiona mtu anatoa mitusi/laumu jua kuna mahali dhulma imetendeka.Kuliko hatq mitusi
Wabongo wengi siku hizi hawaombi. Wanakuroga wanakutupia KIPANDE unaishi nachoHapana bana, tunataķa kuwaweka kwenye maombi
Asante sana mkuu. Tunawaweka kwenye maombi.1. Florent Kiombo- Nkenge
2. Asia Abdulkarim Halamga- Viti Maalum, Manyara
3. Nicodemus Maganga- Mbogwe
4. Grace Tendega- Viti Maalum- Iringa
5. Suma Ikenda Fyandomo- Viti Maalum- Mbeya
6. Zulfa Mmaka Omar- Viti Maalum- Kusini, Pemba
7. Nicholaus Ngassa- Igunga
8. Juliana Shonza- Viti Maalum- Songwe
9. Catherine Magige- Viti Maalum Arusha
10. Shamsia Azziz- Viti Maalum- Mtwara
11. Abdul Yusuph- mbunge wa kuteuliwa
12. Jesca Msambatavangu- mbunge wa Iringa mjini
13. Saasisha Mafue- Mbunge wa Hai
14. Boniface Butondo- mbunge wa Kishapu
15. ...
16. ....
Ya kupona au ya kuzidi kuumwa?😅😅Asante sana mkuu. Tunawaweka kwenye maombi.
Ungetembea mkuu?Mimi ningekua mbunge nisinge kubali kusafiri kwa BUS kwenda Kenya.
Yaani wewe mzee ni muongo muongo tu 😀😀Kwani ajali ilitokea lini? 🐼
Maana nakumbuka ajali ya Dr Kigwangalla kule mbugani Shujaa Magufuli alikuwepo uwanja wa ndege kumpokea na kuongoza Msafara wa kumpeleka Muhimbili