Pre GE2025 Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.

Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Your browser is not able to display this video.

Soma Pia:
 
Kuna binadamu akili zao sijajua zikoje.Hoja imekataliwa kwa sababu imeletwa na mkinzani kivyama au wametoa sababu mahsusi zaidi ya hiyo?Usalama wa watu unakataliwa kujadiliwa?
 
Wanajua wanaofanya hiyo kazi ya utekaji ni TISS na majeshi yetu. Kigugumizi.

Nchi hii kwisha thamani
 
Itakuwa ndio wao😆😆
 
Dr Tulia tulishamtoa thamani kitambo sana
 
Hakuna bunge zaidi ya kusanyiko la majangili tupu
Yaani wameshindwa hata kusimama tuu kuunga mkono hoja hiyo!
Hawa ni manunda kabisa na wanakula fedha zetu bure kwa kisingizio cha kuwa wanatuwakilisha.
Hawa ingekuwa Kenya ni kuwaingilia hukohuko Bungeni na kutembezea viboko vya kutosha au kuwasubiri nje na kuwatupia mayai viza na nyanya mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…