Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa bungeni na mbunge wa upinzani Aida Kenan wa Chadema. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuaximie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni.
Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh! View: https://youtu.be/v5UlIqzYC1w?si=u7jZApCu0vwdhCPe
Kuna binadamu akili zao sijajua zikoje.Hoja imekataliwa kwa sababu imeletwa na mkinzani kivyama au wametoa sababu mahsusi zaidi ya hiyo?Usalama wa watu unakataliwa kujadiliwa?
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa bungeni na mbunge wa upinzani Aida Kenan wa Chadema. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuaximie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni.
Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh! View: https://youtu.be/v5UlIqzYC1w?si=u7jZApCu0vwdhCPe
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa bungeni na mbunge wa upinzani Aida Kenan wa Chadema. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh! View: https://youtu.be/v5UlIqzYC1w?si=u7jZApCu0vwdhCPe
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa bungeni na mbunge wa upinzani Aida Kenan wa Chadema. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Yaani wameshindwa hata kusimama tuu kuunga mkono hoja hiyo!
Hawa ni manunda kabisa na wanakula fedha zetu bure kwa kisingizio cha kuwa wanatuwakilisha.
Hawa ingekuwa Kenya ni kuwaingilia hukohuko Bungeni na kutembezea viboko vya kutosha au kuwasubiri nje na kuwatupia mayai viza na nyanya mbovu