Wabunge wengi waliomo humo hawakuingia kwa ridhaa ya wananchi.T-shirt na kofia bila kusahau kopo moja la pombe ya kienyeji hubadili kabisa akili za wadanganyika.
Bora kuzaliwa mende Ulaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge wengi waliomo humo hawakuingia kwa ridhaa ya wananchi.T-shirt na kofia bila kusahau kopo moja la pombe ya kienyeji hubadili kabisa akili za wadanganyika.
Bora kuzaliwa mende Ulaya.
Tulia kwanzaUnayeelewa ndo nakuuliza nani katekwa? Au ndo ukisikia jambo unalibebelea na huna facts
Hivi Hawa wawikilishi wa wananchi tuliwachagua sisi wananchi kweli?Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Soma Pia:
- OLENGURUMWA: Ripoti ya Jeshi la Polisi inaonesha mwaka 2023 kulikuwepo na matukio ya utekaji wa Watoto takribani 73
- Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
Bangladesh...Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Soma Pia:
- OLENGURUMWA: Ripoti ya Jeshi la Polisi inaonesha mwaka 2023 kulikuwepo na matukio ya utekaji wa Watoto takribani 73
- Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
Hata mimi kwa kweli sikujuaHivi kumbe Tanzania bado kuna bunge na wabunge wapo kabisa?
Wapo.Hivi kumbe Tanzania bado kuna bunge na wabunge wapo kabisa?
Kuna tofauti ya kusali kanisa la waliookoka na kuokoka kuna walokole na waliookolewaTAG
Ulibisha nini?
Daah, wabongo kazi mnayo. Huyo ndiye spika na just twist kanuni atakavyo to thir favors? Hayo mauaji, utekaji n.k Tulia ni mnufaika?Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Soma Pia:
- OLENGURUMWA: Ripoti ya Jeshi la Polisi inaonesha mwaka 2023 kulikuwepo na matukio ya utekaji wa Watoto takribani 73
- Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
Ndiyo ni mnufaikaji,kama hanufaiki Kwa nini kakataa bunge kujadili???Daah, wabongo kazi mnayo. Huyo ndiye spika na just twist kanuni atakavyo to thir favors? Hayo mauaji, utekaji n.k Tulia ni mnufaika?
Hata mimi ningeikataa, tusitake kuumbuana ndani ya bunge.Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Soma Pia:
- OLENGURUMWA: Ripoti ya Jeshi la Polisi inaonesha mwaka 2023 kulikuwepo na matukio ya utekaji wa Watoto takribani 73
- Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
Alibisha kwa vile walokole wa ukweli hawana roho ya kishetani kama alivyo Tulia ambaye ni shetani katika maumbile ya binadamu.TAG
Ulibisha nini?
kw amara ya kwanza ametumia kichwa kufikiri, hakika hata saa mbovu kuna wakati inakua sahihiHakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.
Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!
Soma Pia:
- OLENGURUMWA: Ripoti ya Jeshi la Polisi inaonesha mwaka 2023 kulikuwepo na matukio ya utekaji wa Watoto takribani 73
- Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu