Pre GE2025 Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Pre GE2025 Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
T-shirt na kofia bila kusahau kopo moja la pombe ya kienyeji hubadili kabisa akili za wadanganyika.

Bora kuzaliwa mende Ulaya.
Wabunge wengi waliomo humo hawakuingia kwa ridhaa ya wananchi.
 
Tulia yule anayetegemea kubebwa uchaguzi wa mbeya mjini ajadili kuhusu utekaji huku akijua watekaji ni akina nani!!!!! Mtakua mnafanya mzaha wa wazi. Kiti kitamu kile sasa hivi yeye na kizimkazi ni nilinde nikulinde
 
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.

Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!

Soma Pia:
Hivi Hawa wawikilishi wa wananchi tuliwachagua sisi wananchi kweli?
Au ni watanzania kweli wenye kujua maisha ya watanzania wenzai?
Mbona kama tunacheza pembezoni mwa shimo refu?
 
Wameshindwa hata kuzuga kukubali kishingo upande kwel hamna wabunge hapo na kusanyiko la watu fulani wenye maslah yao na chama Chao sio maslahi ya wananchi!
 
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.

Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!

Soma Pia:
Bangladesh...
 
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.

Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!

Soma Pia:
Daah, wabongo kazi mnayo. Huyo ndiye spika na just twist kanuni atakavyo to thir favors? Hayo mauaji, utekaji n.k Tulia ni mnufaika?
 
Hakuna Bunge pale,bali kundi la wajinga na wapumbavu watumia Kodi za walalahoi.

Nimeshangaa sana maamuzi ya kipumbavu ya spika.
 
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.

Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!

Soma Pia:
Hata mimi ningeikataa, tusitake kuumbuana ndani ya bunge.
 
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea.

Wananchi tuazimie kabisa kwa hawa wabunge kuwa tumewafukuza kazi na wasirudi majimboni. Tuwaambie; You are fired! Sisi sio kama Gen Z wa Kenya kuwapiga mawe,ila watambue wametukosea na hatuwataki tena.
Bangladesh!

Soma Pia:
kw amara ya kwanza ametumia kichwa kufikiri, hakika hata saa mbovu kuna wakati inakua sahihi
20240827_171935.jpg
 
Back
Top Bottom