Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli Mungu atusaidieNiliwahi kusikia Supika ni Mlokole! Nilibisha.
Nampa ushauri tu . Hata uchaguzi wa kwanza vyama vingi 1995 ccm ilipigwa pamoja na kuiba kura . Tatizo ni kuamini ccm haiwezi kuwasemea, sasa huyu bibi yeye yuko front kukandamiza raiaKwenye uchaguzi kuna njia halali na zisizo halali
Huyu kule kwako aliwaambia vijana wa CCM 'mkiona MTU anatukana serekali, shughulikeni naye🙄🙄🙄... Maku Sana huyuCCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kendelea kutawala kadhalimu
Hakuna bunge ni mkusanyiko wa "wahuni"Hii Wakuuu
Bunge sikuuzi halina hata mvutoo
Vikao vyake vimeanzq kumbee daa
Tulia una kazi sana Dada mkubwa
Umelifanya bunge kuwa mfuuu
Si mara ya kwanza bunge ku ignore mambo ya msingi, hii tabia ipigwe vita. Haswa spika anae ona kama ni utani wakati haya mambo ni seriousBunge ni lazima wakumbuke hawa wanaotekwa Zaidi ya kuwa ni Binadamu lakini ndio waliowapigia kura 2020
Kukataa Kujadili Ongezeko la Watu kutekwa na kupotea ni dhahiri Bunge halijui kwanini liliundwa
Jumaa Mubarak
ingekuwa tembo wanapotea yani ingeundwa task force matata. bila shaka tanzania tembo na simba wana thamani kuliko raia unless raia huyo awe mtoto wa kigogoBunge ni lazima wakumbuke hawa wanaotekwa Zaidi ya kuwa ni Binadamu lakini ndio waliowapigia kura 2020
Kukataa Kujadili Ongezeko la Watu kutekwa na kupotea ni dhahiri Bunge halijui kwanini liliundwa
Jumaa Mubarak
Tukiwaambiwa Tulia ni shetani mtueleweBunge ni lazima wakumbuke hawa wanaotekwa Zaidi ya kuwa ni Binadamu lakini ndio waliowapigia kura 2020
Kukataa Kujadili Ongezeko la Watu kutekwa na kupotea ni dhahiri Bunge halijui kwanini liliundwa
Jumaa Mubarak
Unataka chadema waje kukusifia?Bunge ni lazima wakumbuke hawa wanaotekwa Zaidi ya kuwa ni Binadamu lakini ndio waliowapigia kura 2020
Kukataa Kujadili Ongezeko la Watu kutekwa na kupotea ni dhahiri Bunge halijui kwanini liliundwa
Jumaa Mubarak
Tulia ni Spika wa hovyo kuwahi kutokeaingekuwa tembo wanapotea yani ingeundwa task force matata. bila shaka tanzania tembo na simba wana thamani kuliko raia unless raia huyo awe mtoto wa kigogo