britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
hilo Kabisa kabisa KabisaNaomba nikwambie kitu mdogo wangu britanicca .
Ni upumbavu na uhuni wa hali ya juu kufanya mapatano na mtu binafsi huku ukitegemea huyo mtu binafsi atakukingia kifua linapokuja swala la kitaasisi.
Taasisi ni kubwa kuliko mtu mmoja binafsi,hata kama huyo mtu ni kiongozi wa hiyo taasisi.
Mimi ni muwekezaji,ukikutana na mimi kishkaji na tukakubaliana kishkaji,usidhani kwenye makampuni yangu yatahusika na wewe.
Nadhani NEC ilipitisha hao 19 wawe wabunge baada ya kujilidhisha na uteuzi wao ukiwa na sahihi zote za wahusika. Siyo maamzi ya mtu binafsi bali ni maamzi ya taasisi. Haiwezekan taasisi makini kama NEC nihitaji waraka wa Chadema then niletewe wa Mbowe tu eti niukubali.😁Naomba nikwambie kitu mdogo wangu britanicca .
Ni upumbavu na uhuni wa hali ya juu kufanya mapatano na mtu binafsi huku ukitegemea huyo mtu binafsi atakukingia kifua linapokuja swala la kitaasisi.
Taasisi ni kubwa kuliko mtu mmoja binafsi,hata kama huyo mtu ni kiongozi wa hiyo taasisi.
Mimi ni muwekezaji,ukikutana na mimi kishkaji na tukakubaliana kishkaji,usidhani kwenye makampuni yangu yatahusika na wewe.
Mkuu samahani mm sijawahi kuanzisha thread hata siku moja kazi yangu huwa ni kuchangia pekeeHizi thread zako, acha kuziita kuwa ni kwa maslahiya Taifa. Nyingi hazina chochote cha maana zaidi ya unafiki, uwongo na mahaba yako.
Andika unachokitaka, wasomaji ndio watakaoamia kama ni kwa maslahi ya Taifa au ni kwa maslahi ya tumbo au unafiki wako. Usilazimishe kuwa eti ni kwa maslahi ya Taifa, wakati nyingi hazina chochote cha maana.
Huna tofauti na wale walikuwa kila siku wanaimba uzalendo, huku wakipora pesa za watu na kuziweka mifukoni mwao, na wakifanya upendeleo na chuki za wazi.
Paschal kwisha hakuna mkate mgumu mbele ya chaiPaskali nilikuwa nakuheshimu ila kwa hili basi!Mtu anaandika maneno ya matusi kama hayo ambayo kila mtu anaweza kulitohoa hilo neno anavyofikiria na wewe unashangilia?.
Kesi iliyopo mahakamani si ya kisiasa but waliofungua kesi wanaona wamenyimwa HAKI yao, mahakama hazisikilizi kesi za kisiasaFanya yooote lakini bado utawajibika kwenye muongozo wa nchi. Ukisema katiba ya chama haiko chini ya katiba ya nchi basi mahakama isingekuwa na uamzi juu ya kesi za kisiasa. Katiba ya nchi ndyo katiba mama kwa vijikatiba vingine vyooote ndo maana mnahangaikia katiba mpya ya nchi ili mambo yenu ya kikatiba yaende sawa.
Hii point ina maana na umuhimu gani? Hoja ni COVID19 wameteuliwaje na nani na kikao gani.
- Hili jambo limeanzishwa na Chadema kususia kutambua matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ikasema hailitambui Bunge na haitambui Rais
No no! wewe ni mwanasheria you should know this better. Mgogoro ukitokea kuna scenario hiziKukitokea mgogoro wowote wa Uchaguzi, kwa mtu yoyote kupinga ushindi wa mgombea mahakamani, huyo Mbunge ataendelea kuwa mbunge mpaka mahakama itakapotoa hukumu.
- Na kukitokea mgogoro wa kichama, mbunge yoyote kufutwa uanachama na chama chake, anapaswa kupoteza ubunge wake automatically ila akiliarifu Bunge kuwa amepinga mahakamani kuvuliwa kwake uanachama, Bunge litamkingia kifua kusubiria aumuzi wa mahakama.
Nimekupa scenario pale juu, pia utambue suala la Tundu Lissu lipo mahakamani kavuliwa ubunge. Hivi huoni double standard na kwa PhD holder hili halikupawa kufanywa kizembe namna ile. Professor ? real .
- Hivi ndivyo ilivyofanyika kwa Hamad Rashid Mohammed, David Kafulila na Zitto Kabwe. Na baada ya uamuzi wa mahakama, walivuliwa ubunge, Zitto alijivua na kuaga rasmi Bunge.
Rejea hapo juu! nilipokueleza kuwa T.Akson PhD anafanyia kazi taarifa rasmi na ndicho walichosema wakati Chadema walipodai kupeleka barua.
- Hivyo jana asubuhi kupitia Bunge live, Spika alizungumza huku nikimuona kwa macho yangu na kumsikia kwa masikio yangu, alitangulia kupokea taarifa ya kina Mdee kufungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama, kwa kutaja siku, saa na dakika, kabla ya kupokea taarifa rasmi ya Chadema kuwafuta uanachama. Hivyo Spika Tulia yuko right na Bunge liko right kuwakingia kifua.
Chadema walijua mchezo wa Serikali, Bunge na Mahakama. Kutafuta nani amefanya forgery ingechukua miaka 10. Hawa si ndio wanamsubiri dereva wa Tundu Lissu?
- Hii due process ingebainisha kuna forgery, forgery ni jinai, walipaswa kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike na hiyo barua yao ya utambulisho, iwe authenticated na ingebainika ni forgery, wala sio Bunge bali ni NEC ndio wangetengua zile barua zao za uteuzi na wangevuliwa ubunge.
Pole sana,Nadhani NEC ilipitisha hao 19 wawe wabunge baada ya kujilidhisha na uteuzi wao ukiwa na sahihi zote za wahusika. Siyo maamzi ya mtu binafsi bali ni maamzi ya taasisi. Haiwezekan taasisi makini kama NEC nihitaji waraka wa Chadema then niletewe wa Mbowe tu eti niukubali.😁
SAFI KABISAMkuu pasco hoja zinajibiwa kwa hoja. Nimeshangaa umetangulizi suala la mahaba ya wasiokubaliana nawe kwa Chadema! huo ni ufinyu au uhaba wa hoja. Hakuna uchama hapa na wengine hatujui hivyo vyama, lakini tukae kimya kama mazuzu tukinajisiwa akili na akina Tulia
Umeandika mambo mengi na kuficha hoja muhimu kwa bahati mbaya wewe ni mwanasheria tena mwanafunzi wa Tulia Akson PhD na kuna kila sababu ya kuwa na shaka na hilo darasa, sorry!
Hii point ina maana na umuhimu gani? Hoja ni COVID19 wameteuliwaje na nani na kikao gani.
Hata kama wameteuliwa na 'kigogo' , je huo ndio utaratibu wa katiba unayosema inavunjwa?
No no! wewe ni mwanasheria you should know this better. Mgogoro ukitokea kuna scenario hizi
1. Mhusika anaweza kuamua kutokwenda mahakamani akapoteza ubunge.( Sophia Simba, Zitto)
2.Mhusina anaweza kwenda mahakamani shauri lake lisikizwe akiwa nje ya Bunge
3. Mhusika anaweza kwenda mahakamani kutaka zuio la kuondolewa hadi kesi yake itakapokwisha
Si kweli unachosema sana ni uongo!. Wanachama wa CUF walipoteza Ubunge mara moja
Tundu Lissu kesi yake haijaisha na si mbunge kuna ''replacement'' tayari
Sheria za Bunge ni zipi? Za Ndugai au za Tulia Akson PhD!
Lakini pia unajichanganya, tambua kwamba kubaki na ubunge ni amri ya mahakama
Kumbuka hii hoja halafu utaona tatizo hapa chini
Uongo uongo uongo! mkubwa. Mnadhalilisha taaluma ya sheria wewe na mwalimu wako Tulia Akson PhD.
Huwezi kwenda Bungeni na kusema umechaguliwa na NEC na Bunge likakuruhusu kuingia kwasababu umelitaarifu kwa barua . Huo si utaratibu lazima uwe na nyaraka za NEC na vitambulisho vingine.
Huwezi kumwandikia barua Spika eti unakwenda mahakamani na Spika huyo akakubali, huu niu upuuzi mkubwa. Spika anafanyia kazi taarifa za kiofisi si vijibarua visivyo na ushahidi
Spika Tulia Akson PhD alipaswa kuomba apewe barua ya mahakama kwamba lipo shauri, siyo barua za ''mapenzi' tu kutoka COVID.
Hili halihitaji kujua sheria linahitaji weledi tu na nakuhakikishia watu wanaojua wanamuona Tulia Akson PhD mtu wa ajabu sana! hakuna kitu pale , empty !
Nimekupa scenario pale juu, pia utambue suala la Tundu Lissu lipo mahakamani kavuliwa ubunge. Hivi huoni double standard na kwa PhD holder hili halikupawa kufanywa kizembe namna ile. Professor ? real .
Rejea hapo juu! nilipokueleza kuwa T.Akson PhD anafanyia kazi taarifa rasmi na ndicho walichosema wakati Chadema walipodai kupeleka barua.
Job Ndugai alisema hawezi kufanyia taarifa za kusikia anataka taarifa ya chama.
Akaonyeshwa dispatch book na kunywea hadi alipovurunda siku hizi anazungumza vichochoroni
Mwambie Mwalimu wako Tulia Akson PhD kwamba anachokifanya ni majungu.
Taarifa ya kwenda mahakamani inathibitishwa na nyaraka za mahakama siyo hadithi.
P huwezi kwenda na kudai CCM wamekteua kuwa Mbunge na eti T. Akson PhD akakubali tu kwasababu anakujua ni mwanafunzi wake na unaandika makala magazeti! hell no! that is stupid
Kazi za umma zinafanywa kwa taratibu na nyaraka, alipaswa kuwaambi wampe barua ya mahakama
Hivi Chadema wangeandika barua in advance ya kumwambia wanachama wamefukuza leo hapa pangekalika! Please usitetee upuuzi wa kuvunja sheria za nchi. Tulia anavurunda tu! shame on her! Hivi mtu na PhD anadhalilikaje kirahisi namna hii! kibaya zaidi huyu anatoa maamuzi yanayoathiri watu milioni 55!
Pasco please
Chadema walijua mchezo wa Serikali, Bunge na Mahakama. Kutafuta nani amefanya forgery ingechukua miaka 10. Hawa si ndio wanamsubiri dereva wa Tundu Lissu?
Polisi wana intelejensia ya kubaini uhalifu tuhuma za Chadema zilitosha zinatoka katika taasisi. Hilo linawezekana huko kwenye Polisi wa kweli, hapa kwetu ni kichekesho tu
Kwa taarifa yako kesi ya COVID19 itaisha 2025 December.
Mahakama imepokea maagizo ya mhimili wa Tulia Akson PhD na ukumbuke mahakama inaongozwa na Mwalimu wako CJ ibrahimu aliyesema '' mahakama ziangalie mihimili mingine inasema nini'' jana tumeona kauli yake Mhimili wa Bunge umesema wa mahakama umetekeleza
Hoja usiyojibu, mawakili wa serikali wanamwakilisha nani?
Kesi ni ya wanachama na chama chao, hao mawakili ni kwa ajili ya nani
Ni hitimishe kwa kukuambia Pascal hoja zinajibiwa kwa hoja, unachoeleza kwa maelezo mengi ni kutaka kupoteza wasomaji. Tulia Akson PhD na Professor hakufuata au hajui taratibu za ofisi
Inasikitisha Spika wa Bunge anafanyia kazi taarifa za majungu na si za kiofosi.
Spika alikuwa na barua ya CDM ya kiofisi si vikaratasi vya COVID. Barua ya mahakama ni ya kiofisi
Suala zima limemuonyesha Tulia, Tuna tatizo nchini, huyu anaongoza mhimili wa kutunga sheria! eee mola! ee mungu inusuru nchi hii.
Uhusiano wako na Pascal Mayalla ninawaachia wenyewe mtajuana, ila napenda kutoa comment sehemu uliyoandika kuhusu Lissu.Magufuli hakukosea kukuita njaa maana njaa imekuharibu mpaka umekuwa mtu wa hovyo kabisa, Lissu alipinga kufukuzwa mahakamani kwanini Ndugai hakusubiri uamzi wa mahakama na wabunge wa CUF walipinga mahakamani kwanini Ndugai hakusubiri uamzi wa mahakama? umekuwa mtu wa hovyo sn unapewa rushwa unauza utu wako. Kwahiyo wewe unaijua katiba ya CHADEMA kuliko CHADEMA wenyewe? shame on you
Kama hili linajulikana ni kipi kinachowazuia kuchukua hatua juu ya mwenyekiti?You nailed it. Ukitazama mabandiko yote ya Paskali sio utetezi wa kisheria, bali ni makubaliano ya kina Mdee na Mbowe huko vichochoroni. Hayo yako sehemu yoyote. Sisi tunaangalia makubaliano ya wazi na sio hizo porojo za nje ya uwanja. Nimepongeza sana msimamo wa wajumbe wa CDM, hayo makubaliano ya kihuni ya Mbowe na hilo genge lake watajuana.
Anaondolewa kwa kura na sio maoni ya jf.Kama hili linajulikana ni kipi kinachowazuia kuchukua hatua juu ya mwenyekiti?
Kwa kumbukumbu zangu jamaa si mara ya kwanza anachoma dawa ya mbu disko.
Project yenu ya kuiua cdm bado inalipa??Kuna mambo ambayo leo hii watu hawaelewi mtu X mwenye uthibitisho wote alini PM tena bado yuko CDM kuwa mwenye kujua Suala hili kote ni mbowe ndo maana akawa anahangaika sana akina Mdee wajiondoe wenyewe kabla ya kamati kuu kulinda heshima yake!
Kwa logic tu Kwanini anamtuma mtu mpaka amfuate Nairobi kwamba jitoe, baada ya kugundua kwamba mambo yamekuwa mazito akaona credibility yake inaendelea kushuka!
Mbowe anasema ya Kwenda Nairobi na Gerezani tu , Mbona ya hotelini hajayasema?
Mbona wakati wa msiba wa familia Kwa mbowe Matiko , Mdee Na Bulaya walikaa masaa mawili wakimwambia Heche awape Nafasi kidogo hayasemwi? Kama lilikuwa Suala la afya Kwanini Heche aondolewe!
Mbona hawasemi kwamba Mbowe katembelewa kila Jumapili kule Gerezani ? Na maongezi yamekuwa jinsi ya kuongelea haya?
Emanuel Mugaya ananielewa Kwa nayo andika hapa!
Mdee inaonekana ana heshima sana Kwa mbowe tena sana Mbona mazungumzo ya kabla ya Mkutano mkuu mbowe hayagusii?
Mchezo mchezo wenye uhuni
Wanadanganyana tu na wadanganyane wao kila siku itakuwa Chadema ndo ya Mahakamani wakati Vyama vinginevyo vinajijenga!!!
Chama kina ka Uhuni fulani kwenye maamuzi ni maigizo
Unaweza fika hatua ukaona bora ubaki bila Chama Au ujishkize CCM tu
Britanicca
Mhuni hapo ni CHADEMA au Mbowe? CDM kama taasisi wako sahihi kabisa, kama Akina Mdee na Mbowe walifanya makubaliano ya kihuni huko vichochoroni hili ni lao wamalizane wenyewe. Lakini chama kama chama lazima kisimame.Mhuni hapo ni CHADEMA au Mbowe? CDM kama taasisi wako sahihi kabisa, kama Akina Mdee na Mbowe walifanya makubaliano ya kihuni huko vichochoroni hili ni lao wamalizane wenyewe. Lakini chama kama chama lazima kisimame.
Unadhani ndani ya CDM hawajui kama kulikuwa na makubaliano ya pembeni? Wamekaza kwa makusudi kabisa, hata mwenyekiti ajue hayuko juu ya chama.
Muulize pasco mwanasheria uchwara kipi kimetangulia na kilimfikia spika mapema Kati yaDu Paschal tena,
Swali rahisi sana, wakati Halima na wenzake wameenda bungeni juzi walikua ni wa chama gani mpaka speaker atoe maamuzi ya kuwalinda?
Kwa upande mmoja chama kimewafukuza na kutoa taarifa bungeni. Bunge ilipaswa kufuata sheria ....mbunge lazima atokane na chama.
Upande wa pili waathirika walisema nao wamepata taarifa za kufukuzwa kwao ila wana nia ya kwenda mahakani. Hivyo hawakuwa na amri ya mahakama inayomzuia speaker kuwafukuza.
Je speaker alipata wapi mamlaka au sheria ipi kuwaacha bungeni kabla ya amri ya mahakama?
Je nani mwenye maamuzi ya hovyo?
Refer case ya Lema, wabunge wa CUF etc.
Paschal hujadeclare interest kwamba wewe ni CCM hivyo andiko lako liko biased na sababu zipo wazi na ndio maana utapingwa sana hapa. Pia una ajenda mbaya dhidi ya Chadema kwani kwa siku nne mfululizo umeandika mada moja umebadili jina la title. Hata kama ni spinning kuna njia ya kufanya na sio kwa njia unayotumia ipo wazi mno.
Uteuzi hauji kwa kuandika biased ideas bali kutumia critical thinking plus proffessionalism
Dogo mabo ya ki ccm ya kumwabudu mtu unalinganisha na taasisi imara kama chadema.Kuna mambo ambayo leo hii watu hawaelewi mtu X mwenye uthibitisho wote alini PM tena bado yuko CDM kuwa mwenye kujua Suala hili kote ni mbowe ndo maana akawa anahangaika sana akina Mdee wajiondoe wenyewe kabla ya kamati kuu kulinda heshima yake!
Kwa logic tu Kwanini anamtuma mtu mpaka amfuate Nairobi kwamba jitoe, baada ya kugundua kwamba mambo yamekuwa mazito akaona credibility yake inaendelea kushuka!
Mbowe anasema ya Kwenda Nairobi na Gerezani tu , Mbona ya hotelini hajayasema?
Mbona wakati wa msiba wa familia Kwa mbowe Matiko , Mdee Na Bulaya walikaa masaa mawili wakimwambia Heche awape Nafasi kidogo hayasemwi? Kama lilikuwa Suala la afya Kwanini Heche aondolewe!
Mbona hawasemi kwamba Mbowe katembelewa kila Jumapili kule Gerezani ? Na maongezi yamekuwa jinsi ya kuongelea haya?
Emanuel Mugaya ananielewa Kwa nayo andika hapa!
Mdee inaonekana ana heshima sana Kwa mbowe tena sana Mbona mazungumzo ya kabla ya Mkutano mkuu mbowe hayagusii?
Mchezo mchezo wenye uhuni
Wanadanganyana tu na wadanganyane wao kila siku itakuwa Chadema ndo ya Mahakamani wakati Vyama vinginevyo vinajijenga!!!
Chama kina ka Uhuni fulani kwenye maamuzi ni maigizo
Unaweza fika hatua ukaona bora ubaki bila Chama Au ujishkize CCM tu
Britanicca
Hapa ndipo pamenifanya kubaini kuwa kila ulichoandika ni porojo tu, chama gani kinachojijenga kwa sasa zaidi ya CHADEMA mpaka kinakuwa gumzo at whatever they do.Kuna mambo ambayo leo hii watu hawaelewi mtu X mwenye uthibitisho wote alini PM tena bado yuko CDM kuwa mwenye kujua Suala hili kote ni mbowe ndo maana akawa anahangaika sana akina Mdee wajiondoe wenyewe kabla ya kamati kuu kulinda heshima yake!
Kwa logic tu Kwanini anamtuma mtu mpaka amfuate Nairobi kwamba jitoe, baada ya kugundua kwamba mambo yamekuwa mazito akaona credibility yake inaendelea kushuka!
Mbowe anasema ya Kwenda Nairobi na Gerezani tu , Mbona ya hotelini hajayasema?
Mbona wakati wa msiba wa familia Kwa mbowe Matiko , Mdee Na Bulaya walikaa masaa mawili wakimwambia Heche awape Nafasi kidogo hayasemwi? Kama lilikuwa Suala la afya Kwanini Heche aondolewe!
Mbona hawasemi kwamba Mbowe katembelewa kila Jumapili kule Gerezani ? Na maongezi yamekuwa jinsi ya kuongelea haya?
Emanuel Mugaya ananielewa Kwa nayo andika hapa!
Mdee inaonekana ana heshima sana Kwa mbowe tena sana Mbona mazungumzo ya kabla ya Mkutano mkuu mbowe hayagusii?
Mchezo mchezo wenye uhuni
Wanadanganyana tu na wadanganyane wao kila siku itakuwa Chadema ndo ya Mahakamani wakati Vyama vinginevyo vinajijenga!!!
Chama kina ka Uhuni fulani kwenye maamuzi ni maigizo
Unaweza fika hatua ukaona bora ubaki bila Chama Au ujishkize CCM tu
Britanicca