Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ukiona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea na ambao unapaswa kuwa huru ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa na kubidi ajiuzulu huku wananchi wanakenua meno, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tunakusapoti baba
 
Habari njema na Nuru mpya Kwa democrasia , uhuru wa kweli na haki katika taifa letu nauona mwanzo mpya Kwa bunge litakalo tekeleza wajibu wake ipasavyo, Sasa tuhamie Kwa wale wa NEC na wanaokwamisha kupatikana katiba mpya .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unachekesha!

Bunge ndio linaenda kuwa kibogoyo mazima maana spika ajae ataogopa akileta fyoko ataambiwa ana chuki na ana mkwamisha mama.
 
figa moja limeingia chini ya figa jingine, nini hatma ya sufuria (mafiga ni mihimili na sufuria ni dola)
 

 

Picha niliyoipata mimi ni kuwa Rais hakosolewi na mtu au mamlaka yoyote ile...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…