Job kala jebu round ya kwanz tu kaanza kulalia kambaa..hatimae kapigwa KOMaisha ni kutesa kwa zamu kaka..tuliyaaaaaa....na hakuna jambo lisilokuwa na mwisho View attachment 2070895
Kama hawana raha na uongozi huu basi walikuwa na raha na uongozi uliopita ambao Mawaziri waliitwa "Wapumbavu".Kuna mambo ya kando hatuyajui, lakin ukichekecha hapo utajua kuna viongoz wengi kwa sasa hawana raha na huu uongozi mpya
Si walikuwa wanasema Kuna watu nyuma yake, na Wana nguvu kubwa na ndiyo wenye nchi? Alishindwa hata kujitokeza mmoja kumtetea bwana Job?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wewe ungefanyaje ndugu ukizingatia ile pressure kubwa kutoka kila sehemu na wew uko peke yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]supika na bunge lake ni dhaifuKama namuona professor Assad huko aliko,,,,,,,,,!!!!!!!!!
Mna matatizo ya macho [emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama unajiuzulu ndo uandike barua kwa herufi kubwa huyu jamaa ana dharau sanaa [emoji50][emoji50][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona umefurahi sana mkuuNimepitwaje na hii taarifa ya kimbunga Jobo mpaka naiona mida hii aiseee,
Nilikua out of mass media Leo Jamani
Daaaa
Uwiiiiiiiiiiiiiii majirani moto hukuuuuuu
[emoji91] [emoji91] [emoji91]
Kimbunga Jobo Mzee wa Galilaya kabwaga manyanga eboooo!
Mbona siamini amini!
Alaaaaa mr dhaifu ndio basi Tena!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa katiba hii ni ngumu mnoo wapinzani kupewa nchi! Watakuwa wanawatipia viti vichache vya ubunge kubalance mambo! Na mbaya zaidi viongozi wenyewe wa Upinzani wengi ni CCM/TISS, wamewekwa hapo kuwazuga mabeberu tuNa ole wao tuchukue nchi na hii hii katiba wanayokata kyibadilisha
Hata hii ilikuwa ya lazima(behind the curtain) lakini mnatiwa ndimu kana kwamba amejiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe.Lilikuwa ni suala la muda.
Asipojiuzulu watamuuzulisha kilazima.
Si walikuwa wanasema Kuna watu nyuma yake, na Wana nguvu kubwa na ndiyo wenye nchi? Alishindwa hata kujitokeza mmoja kumtetea bwana Job?
Tunataka katiba iliyokuwa Bora na sii hii waliyoweza kuichezea akina supika, hadi ilivyowageuka kwa kupitiliza, tunaitaka katiba mpya ya wanachi.Ambayo ndani yake tutaipata time huru ya uchaguzi.Alishabikia kumwondoa CAG kinyume na taratibu na yeye ameondoka kwa utaratibu huo huo.
Ukivunja katiba,katiba hiyo hiyo itazunguka ikuvunje wewe.
Katiba ni sheria mama.