YaaniBinafsi sikutegemea...Huyu ameng'atuka ila roho itakuwa inamuuma sana..[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unashangaa nini? Hujui fomu Huwa wanachukua kwanza Kwa katibu wao, baadaye wanapigiwa kura huko huko kwenye chama na anayeshinda ndiye anapelekwa bungeni kushindana na wagombea wa vyama vingine/binafsi?Eti anaandika barua kwa katibu wa ccm[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
Nenda kwa Millard Ayo,amesema bunge limethibitisha!
Haya yote dawa yake ni Muongozo(Katiba Mpya na Imara) thabitiKumbe huyu mgogo muoga namna hii.Hana balls kabisa. Inakuwaje mkuu wa muhimili mwingine akufanye ujiuzulu ?
Kabisa.At least angebaki na heshima kama angejiuzulu bila ya kuomba hata huo msamaha, ule msamaha umemfanya aonekane weak sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo hiki kimelidhoofisha sana bunge! Ni kama mhimili wa bunge haupo tena
Mimi nadhani huenda alipokiandikia Chama kuhusu kujiuzulu huenda kukawa na maoni ya kusuluhishana huko ndipo Mgogo akaona autaarifu uma kabisa ili wasimjie kivingine na kuonekana katimuliwa yeye. TimingKwani amajiuzuru kwa hiari yake au kwanguvu za chama, hata hiyo taarifa uenda nayeye anaisoma tu humu humu, unacheza na state......lazma first citizen ambaye ni raisi alindwe kwa mbinu zote
Hapana!Wingi na uimara wa upinzani ndio unaofanya bunge kuwa imara sio spika wa chama tawala.
nafurahi yametimia maandiko waliyonena mitume na manabii![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona umefurahi sana mkuu
Msiba upi?Pole kwa msiba mpinzani wangu, ni maisha tu. Take it easy
Unachofurahia ni nini sasa?Ni kweli Nina furaha kweli kweli.
Akija mwingine asiye na faili Mirembe anaweza kupush ili iwe verified