Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Katika hili kwa haraka haraka ndugai ni mnafiki, kama aliona yuko sahihi zaidi kwanini asingeachia ngazi, akakubali mradi usipite nae kaona una manufaa.

Sasa kama aliangalia tumbo lake, vipi sasa hivi tusiamini anachokiongea ni kwa ajili ya tumbo lake?
 
Kwa kweli spika kasababisha taharuki sana, sisi wananchi wa kawaida tunashindwa kuelewa, mihimili sasa inatwangana, kweli JPM alisema tutamkumbuka kwa Mazuri.R.I.P Jeshi wetu,

Basi waahirishe miradi yote ya JPM tuanze moja kama wanahisi aliamua peke yake, wanatuchanganya sana. Pumzika baba hii ndiyo Tanzania
 
Yaani inakuaje wanasiasa wanakuwa wavivu kusoma mikataba kupitia tenda na kushindwa kutoa hoja na ushauri mzuri kwa maslai ya taifa..
 
Hatuwezi kuwa na mradi wa bandari kubwa Bagamoyo na Zanzibar, miradi hii itakinzana.

Bara kuna Bandari Dar tayari, iimarishwe.

Bagamoyo ilikuwa ni White Elephant project.

Ya Bagamoyo ni muhimu kuliko zote...na itasaidia pia upande wa ajira kwa wananchi
 
Ni lini huo Mkataba ulipelekwa Bungeni, maana mimi binafsi sijawahi kusikia?
Au Wachina washafanya yao, maana hao jamaa kutoa rushwa ili kupush agenda zao ni kawaida.
 
Yale Masharti Magumu yamebadilika, au yamelainika ?
 
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo huenda ukawa na tija zaidi ya Ujenzi wa uwanja wa ndege,Chato!
 

Moja ya kazi ya bunge ni kuishauri serikali ktk mambo ya msingi ya kitaifa, hainingii akilini mkuu wa muhimili uliyekubali kuungana na Rais kutaa mradi ule kwa maslahi ya Taifa baada ya kuangalia side effects,Leo hii utuambie eti alishauriwa vibaya, alishauriwa vibaya na Nani kama nawe sio mmoja wapo?WATANZANIA tupunguze ubinafisi,tumepewa nchi hii tuilinde kwa ajili yetu na kizazi kijacho,mnakula Wala hamshibi ,mkishiba mnaanza kutubeulia usoni.
 
Mnakwama wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…