makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Katika hili kwa haraka haraka ndugai ni mnafiki, kama aliona yuko sahihi zaidi kwanini asingeachia ngazi, akakubali mradi usipite nae kaona una manufaa.
Sasa kama aliangalia tumbo lake, vipi sasa hivi tusiamini anachokiongea ni kwa ajili ya tumbo lake?
Sasa kama aliangalia tumbo lake, vipi sasa hivi tusiamini anachokiongea ni kwa ajili ya tumbo lake?