Hatuna Bunge pale, kuna kusanyiko la mazuzu tuSpika Ndugai sasa baada ya kuona bunge limekuwa na mazuzu amekuwa kama kiongozi wa wapinzani bungeni. Kila topic inaingilia na kusema mara kwa mara nipo disappointed kwa mawaziri.
Huu ndiyo ubaya wa kuwa na bunge feki kiasi kwamba ilibidi anunue wabunge waliofukuzwa chama.
Hii haisaidii nchi tuache uchaguzi uwe huru
Anaumwa huyo mrudisheni clinicSpika Ndugai sasa baada ya kuona bunge limekuwa na mazuzu amekuwa kama kiongozi wa wapinzani bungeni. Kila topic inaingilia na kusema mara kwa mara nipo disappointed kwa mawaziri.
Huu ndiyo ubaya wa kuwa na bunge feki kiasi kwamba ilibidi anunue wabunge waliofukuzwa chama.
Hii haisaidii nchi tuache uchaguzi uwe huru
Tumefikia hapa kama Taifa kutokana na uzuzu wa bunge. Maamuzi mengi ya viongozi yalipata baraka za bunge zuzu. Hata atuogeshe kwa mafuta Ndugai ni spika alie feli kuliko maspika wote tangu tupate uhuru.Bunge ZUZU hakuna mtu analifuatilia...
Mbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.Psychological relief of a kind, ameshaona hamna mtu anayejielewa mwenye habari na bunge lao la kisanii ndio maana sasa ameamua kujitutumua but I can assure him one thing, still hakuna mwenye habari na hilo bunge lao labda waamue kuwa wacheza ngoma bungeni ndio tutawafuatilia nani ana kipaji zaidi ya wenzie.
SPIKA ndio Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani BUNGENISpika Ndugai sasa baada ya kuona bunge limekuwa na mazuzu amekuwa kama kiongozi wa wapinzani bungeni. Kila topic inaingilia na kusema mara kwa mara nipo disappointed kwa mawaziri.
Huu ndiyo ubaya wa kuwa na bunge feki kiasi kwamba ilibidi anunue wabunge waliofukuzwa chama.
Hii haisaidii nchi tuache uchaguzi uwe huru
Uzi tayariSpika Ndugai sasa baada ya kuona bunge limekuwa na mazuzu amekuwa kama kiongozi wa wapinzani bungeni. Kila topic inaingilia na kusema mara kwa mara nipo disappointed kwa mawaziri.
Huu ndiyo ubaya wa kuwa na bunge feki kiasi kwamba ilibidi anunue wabunge waliofukuzwa chama.
Hii haisaidii nchi tuache uchaguzi uwe huru
Udoctor na uprofesa huu wa wabongo ambao thesis zao zimejaa nukuu za kazi za watu wengine, hauna uwezo wa kuondoa uzuzu wa wahusika.Mbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
AgreedUdoctor na uprofesa huu wa wabongo ambao thesis zao zimejaa nukuu za kazi za watu wengine, hauna uwezo wa kuondoa uzuzu wa wahusika.
M
Tena jinga kabisaHii nayo ni legasi ya jiwe
Hao wazee ni wapuuzi sn hata wewe ungewatukana tu jiwe alikuwa sahihi kuwatukanaUdoctor na uprofesa huu wa wabongo ambao thesis zao zimejaa nukuu za kazi za watu wengine, hauna uwezo wa kuondoa uzuzu wa wahusika.