Spika kujifanya mpinzani ni vichekesho

Spika kujifanya mpinzani ni vichekesho

Kawamisi wapinzani bungeni hana wa kumtoa nje au kuamuru police amkamate.Wote ni wabunge wa ndio
 
Zile hoja nzito za kutetea nchi hazipo tena
 
Mbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
Profesa wa ukweli pale Ni Nani?
Daktari pale Ni kina Ngwala aliyeingizwa mkenge na walioandika gazeti FEKI la SCOTSMAN. hata Ile tarehe ilivyokosewa masikini hakuiona.
Wengine mle Ni Taletale na yule mwanafaa. Unategemea Nini kwa mwanafaa na Taletale?
Sabufa ndio kabisaa viatu vya Makinda na Six vinampwaya mbaya.
Mzee Halima aliyekua na akili amenyweshwa mkojo wa chura Sasa mvuto Ni ziro. Kipenzi chake kinatamani kuficha sura yake.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
Kuwepo mjengoni kwa faida yao ndio uzuzu wenyewe huo aliosema Prof Assad
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
Ndio uzuzu wenyewe..mtu msomi hawezi kukubali ujinga unaoendelea Bungeni..Kama spika alivyouliza wananchi watoe njia mbadala ya ukusanyaji Kodi.. seriously
 
Kuna upinzani ndani ya CCM

Kuna Magenge yapo Vitani
Time will tell
 
Mazuzu wasom
Mbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
 
Hahaaaaa
Udoctor na uprofesa huu wa wabongo ambao thesis zao zimejaa nukuu za kazi za watu wengine, hauna uwezo wa kuondoa uzuzu wa wahusika.

Madokta na maprofesa halisi, hawawezi kuingia kwenye hizi siasa za kijuha za CCM. Wasomi wa kweli huwa principled, huwezi kuwazungusha na kuwachezesha kama walivyokuwa wakichezeshwa hawa akina Kabudi, wanaoambiwa wapumb.avu na wanasiasa, halafu wanakenua meno ("msiwaone hivi hawa, Kabudi na Mpango, huwa nawapigia simu mpaka saa nane usiku, wanakula pumb.avu nyingi sana" - Magufuli).

Hawa ni madokta na maprofesa njaa, ambao uzuzu wao hauna tofauti yoyote na uzuzu wa watu kama Kibajaji au Msukuma. Tofauti pekee hawa wengine ni mazuzu wanaoweza kuongea Kiingereza, na hawa wengine na mazuzu mbumbumbu.
 
Udoctor na uprofesa huu wa wabongo ambao thesis zao zimejaa nukuu za kazi za watu wengine, hauna uwezo wa kuondoa uzuzu wa wahusika.

Madokta na maprofesa halisi, hawawezi kuingia kwenye hizi siasa za kijuha za CCM. Wasomi wa kweli huwa principled, huwezi kuwazungusha na kuwachezesha kama walivyokuwa wakichezeshwa hawa akina Kabudi, wanaoambiwa wapumb.avu na wanasiasa, halafu wanakenua meno ("msiwaone hivi hawa, Kabudi na Mpango, huwa nawapigia simu mpaka saa nane usiku, wanakula pumb.avu nyingi sana" - Magufuli).

Hawa ni madokta na maprofesa njaa, ambao uzuzu wao hauna tofauti yoyote na uzuzu wa watu kama Kibajaji au Msukuma. Tofauti pekee hawa wengine ni mazuzu wanaoweza kuongea Kiingereza, na hawa wengine na mazuzu mbumbumbu.
You nailed it, perfectly explained. Mazuzu kama mazuzu, nothing less nothing more.
 
Hao sio mazuzu
Maana zuzu hawezi kuna na mshahara mkubwa hivyo hilo nabisha
Naona wanafuhia kodi zetu tu
 
Back
Top Bottom