DaaaaPsychological relief of a kind, ameshaona hamna mtu anayejielewa mwenye habari na bunge lao la kisanii ndio maana sasa ameamua kujitutumua but I can assure him one thing, still hakuna mwenye habari na hilo bunge lao labda waamue kuwa wacheza ngoma bungeni ndio tutawafuatilia nani ana kipaji zaidi ya wenzie.
Kabisa mkuuHao ni miongoni mwa mazuzu wanaotumia Kodi za wadanganyika vibaya mno Ndugai anapaswa kupewa kesi ya uhujumu uchumi.
Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
Sasa huo ndio uzuzu wenyewe sasa....Mbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
Nijuavyo mimi hajapona vizuri ama ni side effect za Yale madawa mengi mengi aliyobugiaSpika Ndugai sasa baada ya kuona bunge limekuwa na mazuzu amekuwa kama kiongozi wa wapinzani bungeni. Kila topic inaingilia na kusema mara kwa mara nipo disappointed kwa mawaziri.
Huu ndiyo ubaya wa kuwa na bunge feki kiasi kwamba ilibidi anunue wabunge waliofukuzwa chama.
Hii haisaidii nchi tuache uchaguzi uwe huru
Watazaliwa wapinzani miongoni mwao, na watapingana wao kwa wao, ni suala la muda tuSpika Ndugai sasa baada ya kuona bunge limekuwa na mazuzu amekuwa kama kiongozi wa wapinzani bungeni. Kila topic inaingilia na kusema mara kwa mara nipo disappointed kwa mawaziri.
Huu ndiyo ubaya wa kuwa na bunge feki kiasi kwamba ilibidi anunue wabunge waliofukuzwa chama.
Hii haisaidii nchi tuache uchaguzi uwe huru
Noma kweli !Spika Ndugai sasa baada ya kuona bunge limekuwa na mazuzu amekuwa kama kiongozi wa wapinzani bungeni. Kila topic inaingilia na kusema mara kwa mara nipo disappointed kwa mawaziri.
Huu ndiyo ubaya wa kuwa na bunge feki kiasi kwamba ilibidi anunue wabunge waliofukuzwa chama.
Hii haisaidii nchi tuache uchaguzi uwe huru
Unaweza kuwa una degree nyingi tu lakini ukawa zuzu. Kwani kuna aliyempinga Msukuma alipowakemea wasomi Bungeni? Si walikuwepo maprofesa, mbona walinyamaza kama ishara ya kukubaliana naeMbona limejaa maprofessors, doctors, engineers na wasomi wengine kibao? Sema tu hawana nia ya kweli ya kuisaidia nchi kusonga mbele. Siamini kama ni mazuzu nadhani wapo mjengoni kwa faida yao tu.
Na Spika hii hii mbovu ikamuunga mkono.Unaweza kuwa una degree nyingi tu lakini ukawa zuzu. Kwani kuna aliyempinaga Msukuma alipowakemea wasomi Bungeni? Si walikuwepo maprofesa, mbona walinyamaza kama ishara ya kukubaliana nae