ni heri ungekaa kimya kuficha ujinga wako kuliko hiki ulichofanya.hiyo katiba kama mambo yataenda kama ilivyopangwa itaanza kutumika sana sana kuanzia 2015.so ni kusema bunge lijalo na hata bila katiba mpya uchaguzi wa spika/naibu spika utafanyika upya na sio lazima ndugai apite/agombee