Spika Makinda,Ndugai out Bungeni

kipengele gani hicho mkuu?

Mfumo huu wa serikali tatu! Unapunguza nguvu kwa watanganyika kujadili katiba ya muungano, tuanze mjadala mpya wa katiba ya tanganyika iende na hii ya shirikisho, mana wanzanzibar wana katiba yao, bendera na wimbo wao wa taifa
 
Mkuu anakushika nn huyo ndungai mbona unamtolea mapovu hivyo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…