Spika Makinda,Ndugai out Bungeni

Spika Makinda,Ndugai out Bungeni

kipengele gani hicho mkuu?

Mfumo huu wa serikali tatu! Unapunguza nguvu kwa watanganyika kujadili katiba ya muungano, tuanze mjadala mpya wa katiba ya tanganyika iende na hii ya shirikisho, mana wanzanzibar wana katiba yao, bendera na wimbo wao wa taifa
 
ni heri ungekaa kimya kuficha ujinga wako kuliko hiki ulichofanya.hiyo katiba kama mambo yataenda kama ilivyopangwa itaanza kutumika sana sana kuanzia 2015.so ni kusema bunge lijalo na hata bila katiba mpya uchaguzi wa spika/naibu spika utafanyika upya na sio lazima ndugai apite/agombee
Mkuu anakushika nn huyo ndungai mbona unamtolea mapovu hivyo??
 
Back
Top Bottom