jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,983
- 1,423
NAFASI ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na naibu wake imefutwa katika Katipa Mpya ijayo badala yake Spika wa Bunge na Naibu wake hataruhusiwa kuwa Mbunge wala mwanachama wa Chama chochote.
Hayo ni kati mapendekezo ya rasimu ya Katiba Mpya iliyotangazwa hivi punde katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba Mpya Jaji Joseph Warioba huku pia ikimpunguzia Rais Madaraka ya kuteuwa viongozi wa juu wa ngazi ya Serikali.
Tume hiyo pia imefanikiwa kufanya kazi iliyokuwa ikitarajiwa na wananchi hasa baada ya kujibu maswali mengi ya watanzania kuhusu muundao wa Serikali pamoja na masuala ya muungano.
Hayo ni kati mapendekezo ya rasimu ya Katiba Mpya iliyotangazwa hivi punde katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba Mpya Jaji Joseph Warioba huku pia ikimpunguzia Rais Madaraka ya kuteuwa viongozi wa juu wa ngazi ya Serikali.
Tume hiyo pia imefanikiwa kufanya kazi iliyokuwa ikitarajiwa na wananchi hasa baada ya kujibu maswali mengi ya watanzania kuhusu muundao wa Serikali pamoja na masuala ya muungano.
