Spika mstaafu Job Ndugai hana gari na dereva wa Serikali?

Spika mstaafu Job Ndugai hana gari na dereva wa Serikali?

Nsoji go Nvaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
999
Reaction score
1,948
Wanabodi leò mida ya jioni wakazi wa jiji la Dodoma wamepigwa butwaa baada kumuona Spika Mstaafu Job Ndugai akiendesha gari mwenyewe.

Spika alionekana eneo la Makulu akiweka mafuta kituo cha mafuta GPB akìwa anaendesha mwenyewe

Watu wanauliza mbona mama Sitta amepewa dreva na gari la serikali na japo alikuwa tu mke wa spika, iweje Spika Ndugai atelekezwe hivi? CCM rekebisheni hilo.

Soma Pia: Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni
 
Aliyoyaongea mpaka yakapelekea yeye kufanyiwa figisu za kuondolewa uspika yanatimia mbele ya macho ya wana CCM na watanzania kwa ujumla.

Yule mama hawawezi kumpenda nabii wa nyumbani ambaye bado yu hai. Siku akifa ndio watajifanya kumlilia na kumjengea makumbusho.
 
Wanabodi leò mida ya jioni wakazi wa jiji la dodoma wamepigwa butwaa baada kumuona mh spika mstaafu akiendesha gari mwenyewe mh spka alionekana eneo la makulu akiweka mafuta kituo cha mafuta GPB makulu akìwa akiendesha mwenyewe gari prado T900 CQP .watu wanauliza mbona mama Sitta amepewa dreva na gari la serikali na japo alikuwa tu mke wa spika iweje mh ndugai atelekezwe hv? Ccm rekebisheni hio
Anajiandaa kuchukua form ya kugombea 2025
 
Kwa akili yako ya kawaida mtu kama ndugai ambaye kawa spika muda mrefu na anayemiliki vituo vya kuuzia mafuta kama kumi nchi nzima, posho kibao, anaweza kukosa magari aina ya v8 , ? Hapo kaamua kuendesha mwenyewe, jishangae wewe usimshangae tajiri kama ndugai
 
Wanabodi leò mida ya jioni wakazi wa jiji la Dodoma wamepigwa butwaa baada kumuona Spika Mstaafu Job Ndugai akiendesha gari mwenyewe.

Spika alionekana eneo la Makulu akiweka mafuta kituo cha mafuta GPB akìwa anaendesha mwenyewe gari prado T900 CQP.

Watu wanauliza mbona mama Sitta amepewa dreva na gari la serikali na japo alikuwa tu mke wa spika, iweje Spika Ndugai atelekezwe hivi? CCM rekebisheni hilo.

Hukumwona Mama akipokelewa Kigali na Kagame, akilisukuma ndinga mwenyewe?
 
Namshangaaa huyo

Ova
Akawaulize kanisani na salasala michango anayotoaga ya milioni 100 kila wakati, au aende mbezi beach na hiyo hiyo Dom na arusha aangalie apartments na kampuni za utalii za ndugai ndio aje kushangaa hapa , watu bana , hapo tu anawapoteza maboya muone ana shida wakati hata vizazi vyake 50 mbele hawatoteseka
 
Hakuna matajiri nchi hii kama hao high profile politicians, wewe mchuuzi wa bidhaa sijui china au uturuki unacheza na ukisema umefanikiwa wanamucheka tu wanawaza huyu anajirusha anajua accounts zetu abroad zina kiwango gani? Hapa hua wanatucheka tu ,
 
Licha ya kuwa ni spika mstaafu lakini nadhani ana maisha yake binafsi. Mbona hata mama Samia ashashuhudia alikamatwa na trafiki akiwa anaendesha gari akitokea kwenye harusi usiku? Tena aliendesha gari yenye tatizo la taa? Na alikuwa ni kiongozi mkubwa tu serikalini enzi hizo?
 
Akawaulize kanisani na salasala michango anayotoaga ya milioni 100 kila wakati, au aende mbezi beach na hiyo hiyo Dom na arusha aangalie apartments na kampuni za utalii za ndugai ndio aje kushangaa hapa , watu bana , hapo tu anawapoteza maboya muone ana shida wakati hata vizazi vyake 50 mbele hawatoteseka
Ana pesa sana hilo halina ubishi
Jamaa anaishi bana

Ova
 
Kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, Wale Wakuu wa mihimili mitatu ya Serikali Kwa maana ya Rais, Spika wa Bunge la Jamhuri na Jaji Mkuu wa Tanzania wananufaika vitu vingi ikiwemo;
~Ulinzi
~Magari ya kutembelea
~Nyumba yenye hadhi yake
~Matibabu bure
~Pasi ya Kusafiria yenye hadhi ya VIP
~Mshahara wa asilimia 80 ya Kiongozi wa nafasi yako aliyeko madarakani
~n.k

Kwahiyo huyo Mheshimiwa Spika Mstaafu ana haki ya kupewa hizo huduma Kwa mujibu wa Sheria
 
Back
Top Bottom