Spika mstaafu Job Ndugai hana gari na dereva wa Serikali?

Kawaida sana hiyo 😄
 
Punguzeni ushamba jmn, cha ajabu kipi yeye kuendesha gari yake binafsi?
 
Tatzo huna shule dogo. Hatuongelei utajiri tunaongelea protocal hv mtu aliyekua kiongoz wa mhimili wa pili nchini awamu 2 leo hana hata dreva wa kumuendesha kwani mh kikwete hajui kuèndesha gari?au hana nyumba lkn mbona jiwe aliwajengea mahekalu yeye na mwinyi kwan hawana uwezo wa kujenga?au hawakua na nyumba?sisi tunadiscuss why waliokua same position wanatritiwa hv afu yeye hv kwanini kuna ubaguzi?tunajua spika ana ukwasi wa kutosha nani asiyejua utitiri wa majumba na ma appartment aliyonayo ila ni hadhi yake aliyokua nayo leo anaendesha mwenyewe gari kama vile hajashika madaraka makubwa nchi hii leo ka mwenyekiti tu ka uvccm kamepewa dreva na wapambe vp kuhusu spika?hatuangalii utajiri wake tunaangalia position na hadhi yake haviendani
 
Mjinga ww
 
Watu wanauliza mbona mama Sitta amepewa dreva na gari la serikali na japo alikuwa tu mke wa spika, iweje Spika Ndugai atelekezwe hivi? CCM rekebisheni hilo.

 
Kapicha
 
Umemsahau Cdf ama ulikuwa hujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…