Mkuu mbona wabunge wa chadema wapo wengi yi wameenda?Wabunge wa ccm bana wanachekesha ile mbaya, baada ya kuona jinsi watu walivyofurahia hiyo timu kufungwa wanatafuta pa kutokea. Ukweli ni kuwa sisi hatuna uwezo wa soka na gundu lilizidi ccm walivyoanza kuweka kimbelembele kwenye hiyo timu. Ni kweli Amunike sio kocha, je ilikuwaje huo upuuzi wanaoongea sasa hawakuongea wakati timu ilipofuzu kwenda Afcon? Sisi tunajua timu iliyofungwa sio ya taifa bali ni ya ccm.
Vyama havina maendeleoSpika Ndugai pamoja na wabunge wote walioenda Misri kuishangilia Taifa stars wamerejea na kutoa shutuma nzito kwa kocha Amunike.
Juma Nkamia amesema Amunike ni dalali aliyeokotwa jalalani huko Sudan na hana ujuzi wowote wa ukocha.
Nkamia amesema aliongea na Rais wa shirikisho la soka la Nigeria aliyemhakikishia kuwa Amunike siyo kocha na kwamba kama TFF wangeomba ushauri basi wangewakataza kuingia mkataba na kocha Amunike.
Naye mh Bulembo amedai kuwa Amunike si lolote wala chochote na kwamba wabunge wengi walishikwa na tumbo la " kuendesha" kwa namna timu yetu ilivyokuwa inaboronga.
Spika Ndugai amesema wataongeza bajeti ya michezo katika bunge lijallo ili michezo ianze kufundishwa mashuleni.
Source Clouds tv!
Maendeleo hayana vyama!
Ndugai anafanya nini bungeni? Tanzania tuna Bunge? Mbona hajatimuliwa? he is just a stooge of a president! Afadhali tumefungwa 2, yeye bunge is absolutely stupid so called bunge!Spika Ndugai pamoja na wabunge wote walioenda Misri kuishangilia Taifa stars wamerejea na kutoa shutuma nzito kwa kocha Amunike.
Juma Nkamia amesema Amunike ni dalali aliyeokotwa jalalani huko Sudan na hana ujuzi wowote wa ukocha.
Nkamia amesema aliongea na Rais wa shirikisho la soka la Nigeria aliyemhakikishia kuwa Amunike siyo kocha na kwamba kama TFF wangeomba ushauri basi wangewakataza kuingia mkataba na kocha Amunike.
Naye mh Bulembo amedai kuwa Amunike si lolote wala chochote na kwamba wabunge wengi walishikwa na tumbo la " kuendesha" kwa namna timu yetu ilivyokuwa inaboronga.
Spika Ndugai amesema wataongeza bajeti ya michezo katika bunge lijallo ili michezo ianze kufundishwa mashuleni.
Source Clouds tv!
Maendeleo hayana vyama!
Mashabik wa Senegal waleMchungaji Msigwa, Heche na yule viti maalumu wa Kingu walikuwa Cairo usisahau hilo!
Sawa aisee! ila sio kila kitu ni kwa "imani" tu.Nina imani Taifa stars sasa watapumua na Kenya tutamfunga!
Mliteka timu ya Taifa na kuifanya timu ya chama, Leo mnakuja na bla bla nyingi, porojo za kitoto..? Rudisheni timu ya Taifa kwa Watanzania na mkiri mmepotoka. Acheni tabia ya kujikweza kwa mafanikio msiyochangia na kubinafisisha vitu vya kitaifa kuwa vya chama chenu.Nina imani Taifa stars sasa watapumua na Kenya tutamfunga!
HII INANIKUMBUSHA UMISETA KATIKA SHULE MOJA HIVI YA SERIKALI MWALIMU AKAMCHEZESHA DOGO MMOJA KIKOSINI BILA KUJUA KUWA ALIKUWA TANGU ASUBUHI HAJALA CHOCHOTE TANGU ALIPOTOKA NYUMBANI ASUBUHI. JAPO DOGO ALIKUWA NA MOYO SANA WA KUJITUMA KUICHEZEA SHULE YAKE NA UKIZINGATIA HATA CHAKULA CHA MCHANA WAZAZI WAMESHINDWA KUMLIPIA SHULENI. ILE SIKU ALIZIMIA UWANJANI AKAENDA KUZINDUKIA HOSPITALINI KESHO YAKE.Ni kocha mzuri sema ameingia kwenye nchi yenye maneno mengi mpaka atajuta, angekuwa kocha mbaya leo hii msingekuwa Egypt na msingeleta haya maneno kutoka huko. Chanzo ch kuboronga ni maandalizi hafifu,kuna video zilisambaa humu zikionyesha bondia wetu alivyokuwa anafanya mazoezi kwa kutumia matairi ya gari, tukasema serikali nzima ina kosa budget ya kulipia wana michezo wake gym nzuri ili wanamichezo wakajenga miili na stamina, matokeo yake ndo yale walikuwa wakisumwa wanaanguka wenyewe, hawana nguvu, miguu kama inadegedege kocha afanye nini? misingi mibovu ya michezo.
Kosa la kocha ni moja tu kwangu, kupanga watu wenye lishe duni, mabeki wafupi ambao hawakuweza kuhimili wachezaji wa Senegal, naona tutafungwa 10 za Algeria , Tanzania tunatakiwa tuje na mpango kwanza wa kuimarisha afya bora kwa watoto wetu katika ngazi za familia na mashuleni, tuanzishe programme muhimu ya lishe maziwa kuanzia majumbani, na mashuleni, shuleni iwekwe ratiba ya watoto kunywa maziwa kila siku pakiti mbili, baada ya hapo tuhamasishe michezo katika ngazi zote, baada ya hapo tuchague vijana watakao tuwakilisha vyema katika michezo mbalimbali na tuwaandae vizuri. Hatuwei kuwa na vijana legelege tukatarajia matokeo makubwa tunajidanganya, chukueni Africa mashari ,utagundua ni Tz pekee ndio tuna miili hafifu, programme zetu za lishe majumbani na mashuleni ni 0, na maandalizi yetu ya michezo ni F.
Ushauri ni wa bure, kila mtu akapitie Hotuba ya Prof Lipumba juzi katika mkutano wake Diamond jubilee akizindua sera mpya, ameeleza jinsi report za kimataifa zinaonyesha ni jinsi gani ya kuandaa watoto kwa taifa imara lijalo, Tanzania hatuchachelewa.
Mkuu mbona wabunge wa chadema wapo wengi yi wameenda?
Kenya vibonde!Hakuna point huko warudi tuu maana Kenya nae sio mchezo kwa udhaifu wa Taifa Stars
Wao wamemuita mheshimiwa!Amunike sio Mh.
Kwa hiyo sasa hivi miradi ipi imeondolewa kwa kila goli tulilofungwa? 😅 😅Pole Pole anasemaje?View attachment 1137783
Haya ni matusi! Mbunge asiye na nidhamu huyuJuma Nkamia amesema Amunike ni dalali aliyeokotwa jalalani huko Sudan na hana ujuzi wowote wa ukocha.
Ujinga wa kiwango cha juu...wameshakula perdiem wameshiba sasa wanannii! Kwa mtu wmenye akili timamu alitarajia Timu yetu ifanye nini kule Misri ! Kutegemea miujiza katika soka ni kumkosea MUNGU! Mungu ametupa Talanta sisi tumezifukia then unataka uwafunge Snegal!Spika Ndugai pamoja na wabunge wote walioenda Misri kuishangilia Taifa stars wamerejea na kutoa shutuma nzito kwa kocha Amunike.
Juma Nkamia amesema Amunike ni dalali aliyeokotwa jalalani huko Sudan na hana ujuzi wowote wa ukocha.
Nkamia amesema aliongea na Rais wa shirikisho la soka la Nigeria aliyemhakikishia kuwa Amunike siyo kocha na kwamba kama TFF wangeomba ushauri basi wangewakataza kuingia mkataba na kocha Amunike.
Naye mh Bulembo amedai kuwa Amunike si lolote wala chochote na kwamba wabunge wengi walishikwa na tumbo la " kuendesha" kwa namna timu yetu ilivyokuwa inaboronga.
Spika Ndugai amesema wataongeza bajeti ya michezo katika bunge lijallo ili michezo ianze kufundishwa mashuleni.
Source Clouds tv!
Maendeleo hayana vyama!