Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea sahihi kabisaI have been observing!!
Sisi watanzania ukitufuatilia sana utagundua, 'we're good in discussing and not doing'.
Aliyetangualia mbele za haki aliwekeza kwenye kutenda na si kuongea
Ndio maana hata wachambuzi wa mpira wa nchi hii ni mahiri sana lakini sio kwenye utendaji
We're lagging behind tukiendelea na katabia haka kanakozungumziwa kwa uchache kwenye clip hiyo
Umemjibu kwa hekima Sana. Pia anasahau huyo ndugai ni kiongozi wa Serikali na ni mzazi piaMkuu kisukari ni ugonjwa, sidhani kama Ndugai alitamani augue sukari au wewe siamini kama una kinga 100% hutougua kisukari!!
Alishajenga hotel ?Hotel yake imeshakamilika? Anasubiri kukodisha tu kumbi za mikutano na semina. Akiongea utadhani mzalendo basi! Who is he trying to fool!!
Tunaona hadi yaliyotendeka kwa wale wabunge wa CDM"...na msidhani vitu hivyo vinapendeza."
"...Watanzania hawa wana akili."
Ndugai.
Mgogo ni mgogo tu.Kwanza ni aibu iliyoje Spika wa Bunge hafahamu anaye control Government expenditures, wakati kazi kubwa ya Bunge ni kuisimamia Serikali. Hii comment peke yake ni hatarishi!!
Njiani. Haipo dar wala dodoma ipo njiani kwenda dodoma na kurudi dar ( jeneral ulimwengu)
Yes tena barabarani before kufika kisasa.Alishajenga hotel ?
ha ha ha ha .hatuna namna ya kuukwepa huu mji jamani,hatuna namna ndo limeshakuwa jj na capital city tena.Dodoma ni maskini sana huu ndo ukweli hakuna viwanda hakuna utalii hakuna lolote mji umajaa watu omba2 tu Ndugai
Namna pekee ya kuukwepa ni kuacha kaziha ha ha ha .hatuna namna ya kuukwepa huu mji jamani,hatuna namna ndo limeshakuwa jj na capital city tena.
HII NI AWAMU YA SITA IHESHIMIWESpika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.
Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
In shortNini maana ya makao makuu ya serikali kuwa Dodoma? na hiyo siyo maneno ya blah blah ni sheria. Dar ni commercial capital kama ilivyo Lagos kule Nigeria kadri watu wanavyoendelea kukamuliwa tozo ndo na safari za vigogo Dar-Dom, Dom-Dar zinavyoongezeka. Swali lililoulizwa hapa ni nani ana control government expenditure?
Porini ndiyo kuzuri kuna hewa natural ya Mwenyezi Mungu!dodoma porini
Sasa kama mleta hoja ni mwendawazimu tujadili wendawazimu wake?Ungejikita kwenye hoja