Magaidi na watoto wao ndiyo wendawazimuSasa kama mleta hoja ni mwendawazimu tujadili wendawazimu wake?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Umemjibu kwa hekima Sana. Pia anasahau huyo ndugai ni kiongozi wa Serikali na ni mzazi pia
Yes tena barabarani before kufika kisasa.
Dodoma bado.waijenge kwanza.Porini ndiyo kuzuri kuna hewa natural ya Mwenyezi Mungu!
Wale waliokaa kikao cha siri cha kukuleta wewe hapa duniani ndiyo wendawazimuMagaidi na watoto wao ndiyo wendawazimu
Ndugai aligonga nyundo za hatari ndiyo maana mama akawa mbogoKuna nn Kwani?
Imepita hiyooHuyu watamshughulikia hivi karibuni
Ulijuaje?Huyu watamshughulikia hivi karibuni