Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Alikuwa hajui mradi wa makao makuu Dodoma ni tembo mweupe anaye angamiza kodi za Watanzania? Angeishangaa sheria ya Makao makuu Dodoma ilivyopitishwa bungeni ili iende kuwa kaburi la kodi kabla ya kushangaa ile ya tozo ilivyopita.
Kivip Mradi wa makao makuu Dodoma ni white [emoji208]?
 
Waziri wa fedha wa sasa ni kaputi sana. Haijawahi tokea.
 
Makusanyo na nchi iko Dar.....Dom wakae wabunge huyo kibushuti .........kwanza ni kweli ame RiP ?
 
Nasikia kimeumana huko,, subwoofer imekata moto... Sijui... Natamani iwe uwongo...
 
Yule mwingine alikuwa anakaa Chato siku kadhaa na timu yake yote inalipwa perdiem ila Ndugai hakuwahi kuhoji.

MA-CCM sio ya kuamini.
Lisu anakaa Ubelgiji na analipwa perdiem na chadema
 
Jumbe Brown mama D johnthebaptist YEHODAYA na Crimea hawapati chochote kwenye hizo posho?
🤣🤣
Spika anawakilisha MUHIMILI WA BUNGE....ana haki ya kuhoji.....

Na serikali inasimamia shughuli za kila siku na kikatiba nayo ina haki ya KUZIJIBU HOJA.....

All and all Tanzania ni nchi bora mno ambayo imetufanya watanzania tuulizane ,tusikilizane na kupeana majibu KUNTU bila ya kuchukiana na kudharauliana......

SIEMPRE TANZANIA
SIMPRE TANZANIA
SIEMPRE TANZANIA
 
Hii nchi inaendeshwa na genge la mwendazake ona sasa samia tulikuonya mapema tu


Ona hii soma halafu uunganishe matukio hapo anampiga vijembe nani hawa wanacheza kwa akili sana, mwisho wa picha kila mtu atajenga picha kwamba samia ni mzembe ndo maana kawaacha mawaziri wanahamia dar na kutumia pesa za umma

Huyu ndugai naye ni lile genge huyu alinyimwaga umakamo wa rais....yeye na samia wanachekeanaga tu but hawakuwahi kuiva kabisa enz za magu
 
Exquisite 😍
 

Kwani tozo za miamala zina kazi.gani wacha wale nchi
 
Huu ni uthibitisho mwingine wa wazi kuwa, Rais Samia Suluhu Hassani "is held hostage...!!"

Yes, ndiyo logic ilimo ndani maelezo ya Spika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…