Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Mambo ya ajabu sana. Mh Rais wiki chache zilizopita tuliambiwa kaizinisha 300Billion kwa kuendeleza makao makuu. Spika anakuja kushutumu wanaolipwa posho za kuja DSM huku wakijua januari tunatakiwa madarasa ya wanafunzi millioni na ushee wa kidato cha kwanza. Kwa nini 300Billion zipelekwe Dodoma kwenye kudurufu miundombinu ya kuendesha serikali na zisingepelekwa kwenye madarasa, kuongeza ajira ya walimu, chaki, vitabu vya kiada nk. ambavyo haviko na mambo mengine kuliko kwenda kutapanywa Dodoma?

Upelekwe muswaada haraka bungeni wa kuifuta hii sheria ya Makao Makuu Dodoma na Dodoma ibakie kuwa manispaa ya shughuli za Kibunge na elimu za Vyuo vikuu basi.
Kaa chini utafakari ulichoandika
 
Jambo gani la muhimu kahoji hapo kama sio ujinga na kuleta taharuki as if mambo ya serikali yamesimama hayaendi na watu wanafuja pesa.

Anaweza kukuambia miradi gani imesimama na haitekelezwi? Anaweza kukupa list ya makongamano?

Tufanye kuna makongamano yes,ehee wajumbe wakitoka mikoani nje ya Dodoma watakuja bure bila pesa?

Huoni anauliza jambo bila kutumia akili,kwamba hawaamini Rais na PM au?
We ni mnufaika? Kwa sababu tunajua waalikwa kwenye hayo makongamano lazima walipwe na mawaziri wakiwa Dodoma watalipwa perdiem wakati wapo kwenye vituo vyao vya kazi?
 
We ni mnufaika? Kwa sababu tunajua waalikwa kwenye hayo makongamano lazima walipwe na mawaziri wakiwa Dodoma watalipwa perdiem wakati wapo kwenye vituo vyao vya kazi?
Sasa kwani kuna kongamano ambalo huwa liko bure,ni hivi posho kila siku tunasila iwe kongamano au kazi za kawaida kama jobo anavyopata posho kwa hiyo shida iko wapi.

Serikali haiwezi kwenda bila posho ndio maana hata yule mwehu alikuwa anagawa pesa njiani ziko kwenye bajeti kqbisaa kuanzia kiongozi yoyote wa wananchi ametengewa sasa sijui mnaongea nini hasa nyie.
 
Tamisemi waziri wake anazurura tuu nazani ndio wizara inayoongoza kwa kufuja pesa
 
Sasa kwani kuna kongamano ambalo huwa liko bure,ni hivi posho kila siku tunasila iwe kongamano au kazi za kawaida kama jobo anavyopata posho kwa hiyo shida iko wapi.

Serikali haiwezi kwenda bila posho ndio maana hata yule mwehu alikuwa anagawa pesa njiani ziko kwenye bajeti kqbisaa kuanzia kiongozi yoyote wa wananchi ametengewa sasa sijui mnaongea nini hasa nyie.
Watanzania siyo malofa kama wewe
 
Tamisemi waziri wake anazurura tuu nazani ndio wizara inayoongoza kwa kufuja pesa
Ummy mwalimu hiyo wizara haiwezi hajui anasimamia nini mara ajira zitolewe hivi mara vile saizi usishangae rushwa itakuwa kubwa sana kwenye ajira!
 
Mpaka Heche aseme harafu chizi ndugai ajitokeze aache unafiki
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327

Sasa kama bunge zima lapiga makofi kuhusu wazo la speaker, hao wahusika ni chadema au wapo huko ndani?
 
ENDAPO MAWAZIRI AU WAHUSIKA WAPO DODOMA BASI MAKONGAMANO HAYO YAFANYIKE DODOMA,MADHANI WAPO WANAJARIBU KUFANYA YAO ALIMRADI MPENDWA LETU RAIS AONEKANE WEAK,MFANO MWINGINE NI GJARAMA ZA UKARABATI WA NYUMBA ZILIVYO ZA AJABU AJABU,what is that? That's mean kumuumiza mwananchi ili ili amchukie kiongozi.
We nawe hujielewi,mbona JPM alikuwa hachezewi?unamtetea mtu dhaifu?
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Tangu lini akawa na huruma na hela za kodi huyu? Aache unafiki
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Na yeye ndugai yuko kundi hilo hilo wanalipana maposho ya kutisha asituzubaishe kwaza atuambie ukweli wa mabilioni aliyotumia I.ndia kwa matibabu yeye mkewe na wasaidizi wawili ndani ya 5star hotel .kiongozi gani nchi hii anaeangalia hali za wananchi wa chini ukiacha mwalimu nyerere kila cku kodi kodi kodi wao wenyewe wanalipana maposho makubwa bila kodi. Ni jambo la kuchekesha wanalipana mshahara milioni 4 ndio hutozwa kodi posho milioni 12 bila kodi na misamaha kibao.
 
Hivi mawaziri na speaker wenye nyumba Dodoma wanalipwa posho ya vikao (sitting allowance) na posho ya kujikumu kwa kuwa nje ya kituo(per diem) wanazolipwa wakati wa vikao.
 
Back
Top Bottom