Yule mwingine alikuwa anakaa Chato siku kadhaa na timu yake yote inalipwa perdiem ila Ndugai hakuwahi kuhoji.
MA-CCM sio ya kuamini.
enzi hizo ilikuwa corona rais alishauriwa awe chato ni bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mwingine alikuwa anakaa Chato siku kadhaa na timu yake yote inalipwa perdiem ila Ndugai hakuwahi kuhoji.
MA-CCM sio ya kuamini.
Watu wa mikoani taaabu kweli kweliWanakijiji mnashida sana
Alafu wabunyaji wa TOZO mnakuwa wakali kweli na matusi juu.....Mimi sio mpumbavu kama wewe na wenzio,tozo ziko clear zinakotumika.Nawewe kanufaike ubweie kwani hutaki pesa?
Huyo hajui, speaker kafanya kazi yake haswa! Hivi huyo ashawahi kumfatilia spika wa uganda anaitwa Kadaga? Ndugai kafanya kazi yake!Kwani we haujui kua alichokihoji ndugai ni miongoni mwa kazi za bunge pale wanapokua wameweka pembeni kidogo unazi wa chama na kusimamia wajibu wao Kama bunge
HayatuhusuSpika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.
Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
Pigaaaaaaaa yake kichwaaaaaaaHuyo nae huwa ni mjinga Sana na huwa anahemka, expenditure za serikali huwa siku zote ana control nani?.
Makongamano gani ambayo yanafanyika Dar tuu? Na nani kasema makongamano yanatakiwa kufanyika Dom pekee?
Kwani kulipana posho ni tatizo? Pale Bungeni anakaa bure bila posho?
Hiki kizee huwa kina matatizo ya kisaikolojia nadhani.
Seems haelewi hata uelekeo wa uchumi wa sasa
Job wa Jeriko aachr wivu. Kwani yeye expenditure za bunge nani anazicontrolSpika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.
Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
😅😅😅Huyo nae huwa ni mjinga Sana na huwa anahemka, expenditure za serikali huwa siku zote ana control nani?.
Makongamano gani ambayo yanafanyika Dar tuu? Na nani kasema makongamano yanatakiwa kufanyika Dom pekee?
Kwani kulipana posho ni tatizo? Pale Bungeni anakaa bure bila posho?
Hiki kizee huwa kina matatizo ya kisaikolojia nadhani.
Seems haelewi hata uelekeo wa uchumi wa sasa
Hata Kama una mchukia spika akileta hoja ya kizalendo jitahidi uweke tofauti zenu pembeni kwa maslahi mapana ya TaifaYule mwingine alikuwa anakaa Chato siku kadhaa na timu yake yote inalipwa perdiem ila Ndugai hakuwahi kuhoji.
MA-CCM sio ya kuamini.
Wewe mpumbavu utamtaja mwenda zake mpaka lini? Viongozi wajinga wasiojitambua wanaofanya mambo kwa kujipendekeza waonekane wazuri kumbe hamna kitu matokeo yake ndo haya! Mwache Magufuli apumzike mlishangilia sana sasa mambo shagarabagara unakuja na ngonjera za mwenda zake! Stupid!Hii nchi inaendeshwa na genge la mwendazake ona sasa samia tulikuonya mapema tu
Ona hii soma halafu uunganishe matukio hapo anampiga vijembe nani hawa wanacheza kwa akili sana, mwisho wa picha kila mtu atajenga picha kwamba samia ni mzembe ndo maana kawaacha mawaziri wanahamia dar na kutumia pesa za umma
Huyu ndugai naye ni lile genge huyu alinyimwaga umakamo wa rais....yeye na samia wanachekeanaga tu but hawakuwahi kuiva kabisa enz za magu
Wivu utamuua. Yeyenilimsiki akihoji kwa uchungu sana
angetolea mfano @Gerison msingwa
Kimbunga Job mnafiki tuHata Kama una mchukia spika akileta hoja ya kizalendo jitahidi uweke tofauti zenu pembeni kwa maslahi mapana ya Taifa
Thank you JobSpika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.
Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
Watu wa mikoani taaabu kweli kweli
Ukiona una deal na mtu aliyehoji baada ya kuangalia hoja Ina maslahi gani kwa Taifa ujue tu una tatizoHapa shida sio swali ,shida ni aliyeuliza swali ata kama swali ni la muhimu bado inaonekana ni utumbo.
Kipindi cha mwendazake ni nani alikuwa anacontrol hiyo expenditure? Mbona hajawahi kuuliza swali hilo ilhali kuna wakati ikuli ilihamiaga Chato? Ndugai yupo kwenye kamati ya fitna na roho mbaya dhidi SSH.
Matumizi ya tozo.
R.I.P JPM
Na ww kabunyeAlafu wabunyaji wa TOZO mnakuwa wakali kweli na matusi juu.....
JPM alikua anafanya kazi kwenye ofisi zipiIkulu na ofisi za rais hazijakamilika bado sijuzi tu tumeonwa PM katembelea ujenzi wa ikulu haujakamilika bado ujenzi unaendelea.