Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Kwani we haujui kua alichokihoji ndugai ni miongoni mwa kazi za bunge pale wanapokua wameweka pembeni kidogo unazi wa chama na kusimamia wajibu wao Kama bunge
Huyo hajui, speaker kafanya kazi yake haswa! Hivi huyo ashawahi kumfatilia spika wa uganda anaitwa Kadaga? Ndugai kafanya kazi yake!
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Hayatuhusu
 
Huyo nae huwa ni mjinga Sana na huwa anahemka, expenditure za serikali huwa siku zote ana control nani?.

Makongamano gani ambayo yanafanyika Dar tuu? Na nani kasema makongamano yanatakiwa kufanyika Dom pekee?

Kwani kulipana posho ni tatizo? Pale Bungeni anakaa bure bila posho?

Hiki kizee huwa kina matatizo ya kisaikolojia nadhani.

Seems haelewi hata uelekeo wa uchumi wa sasa
Pigaaaaaaaa yake kichwaaaaaaa
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Job wa Jeriko aachr wivu. Kwani yeye expenditure za bunge nani anazicontrol
 
nilimsiki akihoji kwa uchungu sana
angetolea mfano @Gerison msingwa
 
Huyo nae huwa ni mjinga Sana na huwa anahemka, expenditure za serikali huwa siku zote ana control nani?.

Makongamano gani ambayo yanafanyika Dar tuu? Na nani kasema makongamano yanatakiwa kufanyika Dom pekee?

Kwani kulipana posho ni tatizo? Pale Bungeni anakaa bure bila posho?

Hiki kizee huwa kina matatizo ya kisaikolojia nadhani.

Seems haelewi hata uelekeo wa uchumi wa sasa
😅😅😅
 
Hii nchi inaendeshwa na genge la mwendazake ona sasa samia tulikuonya mapema tu


Ona hii soma halafu uunganishe matukio hapo anampiga vijembe nani hawa wanacheza kwa akili sana, mwisho wa picha kila mtu atajenga picha kwamba samia ni mzembe ndo maana kawaacha mawaziri wanahamia dar na kutumia pesa za umma

Huyu ndugai naye ni lile genge huyu alinyimwaga umakamo wa rais....yeye na samia wanachekeanaga tu but hawakuwahi kuiva kabisa enz za magu
Wewe mpumbavu utamtaja mwenda zake mpaka lini? Viongozi wajinga wasiojitambua wanaofanya mambo kwa kujipendekeza waonekane wazuri kumbe hamna kitu matokeo yake ndo haya! Mwache Magufuli apumzike mlishangilia sana sasa mambo shagarabagara unakuja na ngonjera za mwenda zake! Stupid!
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Thank you Job
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kipindi cha mwendazake ni nani alikuwa anacontrol hiyo expenditure? Mbona hajawahi kuuliza swali hilo ilhali kuna wakati ikuli ilihamiaga Chato? Ndugai yupo kwenye kamati ya fitna na roho mbaya dhidi SSH.


Mnakosea sana mnapilinganisha awamu ilopita na hii kwa kusema “Eti wakati wa JPM angeyasema hayo”?

Hiyo ni inferiority complex!

Basi muulize pia je wakati wa JK mtu angeyasema hayo?

Watu wenye mawazo kama yako iwapo wakiwa karibu ya Rais mtamfanya aanze kujisikia -inferiority complex kitu ambacho sio kizuri.

Epukeni kabisa hiyo hali ya kujiuliza Eti ingekuwa wakati wa JPM angeyasema hayo? So what?

Madhara ya inferiority complex yanajulikana!

Uongozi si lelemama, unapaswa kuwa na kifua kipana cha kukabiliana na mambo mazito!
 
Back
Top Bottom