Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Hata sie lazima tutajuana,maana hizo gharama za kusafiri na masurufu,tunazibeba sie wananchi wa kawaida
Sawa lakini hakuna cha kufanya.
Wananchi wa kawaida hawana sauti bungeni wala juu ya serikali. Bunge nalo ni Mali ya serikali. Linalipwa vipato kuliko watanzania wengine.