Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

wewe unaonekana una chet cha kuzaliwa tu si zaidi ya hapo. kwa hiyo hiyo unavyojua wewe pesa ya serikali inatoka bilacya kitengenezewa mazingira, hivi watu kama wote wapo dodoma alafu wanakuja dar tu kufanyavmkutano ni sawa. kwa wajinga kama nyinyi hata chizi anaweza kuwatawala
Ulivyo kiazi unaweza weka ushahidi wa hicho unachoandika kwamba watu wote wanatoka Dom kwenda kufanya mkutano Dar au unaropoka tuu?.

Wewe na mbumbumbu wenzio kama jobo ndio tuwaulize,kuna pesa ya serikali ambayo inatoka bila utaratibu?
 
Nini maana ya makao makuu ya serikali kuwa Dodoma? na hiyo siyo maneno ya blah blah ni sheria......Dar ni commercial capital kama ilivyo Lagos kule Nigeria kadri watu wanavyoendelea kukamuliwa tozo ndo na safari za vigogo Dar-Dom, Dom-Dar zinavyoongezeka. Swali lililoulizwa hapa ni nani ana control government expenditure?
Siku zote huwa ana control nani? Tangu lini shughuli za serikali zilikoma kufanyika Dar? Ikulu iko wapi? Mabalozi na mahakamani zote ziko wapi?

Maofisi ya Wizara na taasisi zake zimeshahamia Dom? Airport iko Dom?

Acheni upumbavu,Mji wa serikali bado Sana kuwezesha shughuli zote za Serikali kwa sasa.
 
Hela lazima tupige na safari tunalipana tu hakuna namna. Ukitaka na wewe njoo Serikalini otherwise lazima tukukamue ili tuishi maisha bora.

Haya sana tuma hela kijijini kwenu ili tupate hela ya tozo wiki inayo tunaanda Per Diem tuna safari sisi tunahitaji hela.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hao wapumbavu dizaini ya jobo ni kuwajibu hivi Ili waelewe.
 
!
20210907_202602.jpg
 

Attachments

  • 20210907_203302.jpg
    20210907_203302.jpg
    43.1 KB · Views: 4
Bwashee mkumbushe Ndugai kuwa Rais ndiye anayeamua makao makuu ya nchi yawe wapi kwa wakati gani. Kesho akiamua kuitisha kikao cha baraza la mawaziri (JMT) pale Kisiwandui au Kilindoni yote ni heri; hahojiwi.

Halafu matumizi ya serikali hayamhusu pia. Rais ana maono na hekima za kutosha.
Jobo ni mpumbavu Sana unashindwa kuelewa ,je kuna shughuli ya serikali imekwama au inaenda ndivyo sivyo? Anachojua ni kuropoka na kutumia pesa tuu kutafuta pesa hajui
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Anashangaa nini ? Kwani hafahamu kuwa mwenye mpango wa DODOMA ameshadidimia ardhini walihamia kwa mabavu yake wanapenda mahali ulaji unapopatikana hamuoni ndege za serikali zinavyopiga routs za Dar Dom na actress kila kukicha
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
TanzaGiza.
Mbunge ana makazi Masaki/Obay lakini utasikia mbunge wa Handeni, Musoma, Ifakara!!
Hata Huyu mwenyewe Ndungai kichwa ana makazi Dar asitukejeri.
Katiba, Katiba iyaweke wazi majukumu ya viongozi na pale akikiuka aachie ngazi kama ilivyo kwengine duniani.



Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
wakati ule ikulu ilipohamia Chato mbona hakuhoji kama sio unafiki nini.Suala la serikali nzima kuhamia Dodoma kimsingi lilifanywa kisiasa bila kuangalia economic impact na wakati.Kuna wizara nyingi sana hazina cha kufanya Dodoma kwa kuwa shughuli zake nyingi zipo Dar es Salaam.Hakukua na haji ya kuipeleka baadhi ya wizara Dodoma.Nimekuwepo mtumba pale jumatatu ya wiki hii watu wapo wanapigwa na jua hakuna kazi na hakua watu wa kuwahudumia.Kimisingi watumishi wengi watumishi wanalipwa mishahara huku wakiwa hawana kazi za kufanaya.Speaker hahoji kwa nini watu wanalipwa ilihali kazi za kufanya hakuna.Kuna taasisi wadau wako Dar es Salaam kwa nini ofisi iwepo Dodoma?Suala la kuhamia Dodom halikuangalia nyakati na maendeleo ya Technolojia.
Amekalia kuhoji upumbavu eti posho,kwa akili yake ya kijinga Mawaziri kila siku wanazunguka mikoani inamaana hapo hakuna posho na mafuta au anadhani wanaenda kujifurahisha?..

Hadi sasa hakuna hata nusu ya taasisi za serikali Dodoma hapo sasa sijui anatakaje? Ndio maana PM alikuwa anamcheka kwa kumkejeli.

Serikali ndio kwanza inajitahidi kuweka miundombinu na Jana kaambiwa serikali imetoa zaidi ya bil.300 kuendelea na ujenzi wa mji wa serikali na pesa zingine zitaendelea kutolewa..

Miaka 5 itapita bado facilities za serikali hazijasimama hapo Dom,Mji ukijengwa kwa pupa sehemu zingine za nchi zitasimama .
 
Siku zote huwa ana control nani? Tangu lini shughuli za serikali zilikoma kufanyika Dar? Ikulu iko wapi? Mabalozi na mahakamani zote ziko wapi?

Maofisi ya Wizara na taasisi zake zimeshahamia Dom? Airport iko Dom?

Acheni upumbavu,Mji wa serikali bado Sana kuwezesha shughuli zote za Serikali kwa sasa.
kamjibu ndugai kiazi wewe....
 
ukweli Dodoma bado haina hadhi ya kua makao makuu sema tu siasa ndio zilizotufikisha hapo.Unaenda mtumba watu wapo tu hawana kazi za kufanya mfano ni wizara ya ardhi,uchukuzi,fedha watumishi wanalipwa mishahara bila kazi za kufanya.Angalau watu wa Tamisemi ndio wako busy kwa kua shughuli zao ni za kiutawala zaidi.
Kama sijakuelewa una maana hawana kazi sababu wako Dodoma au hawana kazi toka mwanzo. Sababu haingii akilini wamejiariwa ila wakiwa Dar wanakazi ila Dodoma hawana kazi hapo kidogo utata. Kama umewakuta wamekaa tu basi ujuwe mambo mazuri kazi wamemaliza hakuna tatizo mambo shwari watu wanafanya kazi na kufunga ma file haraka.
 
Kama sijakuelewa una maana hawana kazi sababu wako Dodoma au hawana kazi toka mwanzo. Sababu haingii akilini wamejiariwa ila wakiwa Dar wanakazi ila Dodoma hawana kazi hapo kidogo utata. Kama umewakuta wamekaa tu basi ujuwe mambo mazuri kazi wamemaliza hakuna tatizo mambo shwari watu wanafanya kazi na kufunga ma file haraka.
Wanakimbia ofisi Dodoma n kuwaacha wananchi hawana wa kuwahudumia
 
JPM alikuwa kiboko kuna watu wa Dar hii mpaka leo inawauma hawataki kukubali kuwa sasa hivi sign za waziri au katibu zinafuatwa Dodoma na mbaya JPM kabla hajafariki akasema Jiji ni Ilala tu huko kwengine hakuna jiji hilo likawauma zaidi alichosaidia Dar kupinga Bandari Bagamoyo lakini siku bandari ikianza kujengwa Bagamoyo ndio utaona immigration kama wale nyumbu wanaohama Masai mara na serengeti kila mwaka.
 
Wanakimbia ofisi Dodoma n kuwaacha wananchi hawana wa kuwahudumia
Ok hilo ni tatizo hata hapa Dar kuna wakati mtu anakuja kutoka mikoani mpaka anamaliza pesa ya guest bado anazungushwa tu ila hilo ni jukumu la wizara kuwajibika jambo ambalo kwa wa Tanzania ni changamoto sana ya muda mrefu na sijui dawa nini labda tuwe na electronic cards una swap ukifika kazini na ukitoka una swap hapo kunaweza kuwa na nidhamu.
 
Nini maana ya makao makuu ya serikali kuwa Dodoma? na hiyo siyo maneno ya blah blah ni sheria......Dar ni commercial capital kama ilivyo Lagos kule Nigeria kadri watu wanavyoendelea kukamuliwa tozo ndo na safari za vigogo Dar-Dom, Dom-Dar zinavyoongezeka. Swali lililoulizwa hapa ni nani ana control government expenditure?
Bado Ndugai ana maswali mengi ya kujibu. Bunge ndio hupitisha budget, kila mwaka watu wanahoji inakuwaje recurrence expenditures zinazidi kwa mbali development expenditures? Palipo kuwepo wapinzani majibu waliopewa yalikuwa yanakatisha tamaa.
 
ENDAPO MAWAZIRI AU WAHUSIKA WAPO DODOMA BASI MAKONGAMANO HAYO YAFANYIKE DODOMA,MADHANI WAPO WANAJARIBU KUFANYA YAO ALIMRADI MPENDWA LETU RAIS AONEKANE WEAK,MFANO MWINGINE NI GJARAMA ZA UKARABATI WA NYUMBA ZILIVYO ZA AJABU AJABU,what is that? That's mean kumuumiza mwananchi ili ili amchukie kiongozi.
Nani ana wajibu kuzuia hali hiyo zaidi ya rais mwenyewe? Kukaa kimya ni kukubali.
 
Back
Top Bottom