Spika Ndugai: Ajira ziwe zinazingatia usawa wa Kijografia

Spika Ndugai: Ajira ziwe zinazingatia usawa wa Kijografia

Uwiano wao lazima utakuwa na uwakilishi mwingi kwenye ajira za kawaida na uwaziri pia. Wachagga wote Kilimanjaro hawajazi Kishapu, I mean, Halmashauri ya Kishapu inalingana na mkoa wa Kilimanjaro, sasa Wachagga watakuaje wengi TRA kuliko Wasukuma?
Kama watu hawajui kuchangamkia fursa wamekomaa na ufugaji watapataje hizo nafasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajira zizingatie sifa, sio uwiano wa kijiografia. Hizi sio nafasi za upendeleo, ni utaalamu.
 
Kazi zitatolewa kulingana na sifa na uwezo..bila kujali dini wala kabila..ila kwandugu zetu wa ukanda wa pwani ambao elimu dunia hawaithamini sasa hapo usawa wa kijografia na kiimani utaupata wapi katika ajira.?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Ajira za walimu na madaktari hakunaga interview"
Kutokuwa na interview huo ni upuuzi.
Inabidi serikali ibadilishe hii aina ya ajira za mkupuo ili kuokoa kada za afya na elimu.

Huu mtindo wa kukusanya watu kwa kuangalia vyeti bila usaili, umeendelea kudidimiza elimu ya watoto/vijana wetu kwa muda mrefu sasa. Pia upande wa afya umevamiwa na madaktari wengi makanjanja, jambo ambalo ni hatari sana kwa afya na uhai wa wananchi.
 
Uwiano wao lazima utakuwa na uwakilishi mwingi kwenye ajira za kawaida na uwaziri pia. Wachagga wote Kilimanjaro hawajazi Kishapu, I mean, Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu inalingana na mkoa wa Kilimanjaro, sasa Wachagga watakuaje wengi TRA kuliko Wasukuma?
Wasukuma akili hawana zaidi ya nguvu za kulima na kuchunga Ng'ombe huwezi linganisha na Taifa teule Wachaga

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Sasa Kongwa watu wengi hawana shule kwa hiyo waajiriwe kisa ni uwiano? watu waajiriwe kwa uwezo wao kitaaluma
 
Alikuwa wapi wakati huo upuuzi ukiwa unafanywa na Mwendazake? Sasa hivi hatuna huo ujinga yeye ndo anakurupuka.
Yaani, kwa muda wa miezi miwili tu, uwiano wa kidini, kimaeneo, kijinsia umeisha na swala hilo hali hitaji kuongezewa tena? Kwa sababu Magufuli aliye ongoza kwa miaka mitano tu! - ndiye aliye Leta ubaguzi huo na sasa kafa huo ubaguzi umeisha?
 
Ndugai naona anaishi ernzi za karne ya mawe yaani stone age

Sasa hivi unapoajiriwa fomu unazojaza zilishaondoa kipengele cha kuonyesha kabila lako kabila gani na dini yako dini gani

Yeye nafikiri anakumbuka enzi zao ambako ukiajiriwa unajaza dini yako ipi na kabil;a lako lipi

Sasa hivi anaposema kikanda hata haeleweki anaongea mambo ya kizamani sana mfano watoto wake wamezaliwa Dar es salaam hawakuzaliwa ugogoni sasa wateuliwe kutoka kanda ipi ya Dar es salaam au Dodoma?

Kizazi kilichopo sasa ukiondoa hao vikongwe akina Ndugai hakijazaliwa vijijini porini walikozaliwa wao.Vimezaliwa mikoa mingine kabisa ,Mtoto wa kichaga unakuta kazaliwa MWanza au kigoma au mbeya ambako wazzi wake wana makazi huko!!!

Anayoongelea hayako appilicable kwa sasa!!! yamepitwa na wakati
 
Ndugai naona anaishi ernzi za karne ya mawe yaani stone age

Sasa hivi unapoajiriwa fomu unazojaza zilishaondoa kipengele cha kuonyesha kabila lako kabila gani na dini yako dini gani

Yeye nafikiri anakumbuka enzi zao ambako ukiajiriwa unajaza dini yako ipi na kabil;a lako lipi

Sasa hivi anaposema kikanda hata haeleweki anaongea mambo ya kizamani sana mfano watoto wake wamezaliwa Dar es salaam hawakuzaliwa ugogoni sasa wateuliwe kutoka kanda ipi ya Dar es salaam au Dodoma?

Kizazi kilichopo sasa ukiondoa hao vikongwe akina Ndugai hakijazaliwa vijijini porini walikozaliwa wao.Vimezaliwa mikoa mingine kabisa ,Mtoto wa kichaga unakuta kazaliwa MWanza au kigoma au mbeya ambako wazzi wake wana makazi huko!!!

Anayoongelea hayako appilicable kwa sasa!!! yamepitwa na wakati
Anaongea kama amekatwa kichwa huyu mzee
 
Ajira zizingatie sifa, sio uwiano wa kijiografia. Hizi sio nafasi za upendeleo, ni utaalamu.
Kauli hatari sana kwa taifa, kweli tunaenda sasa kugawana ajira kwa usawa wa dini( dini ziko nyingi na katika dini hizo kuna makundi mia kidogo), mikoa( makabila tofauti), kabila, gender sio qualification tena. Kuna mtu anaweza kuwa msukuma lakini maisha yake yote anaishi Arusha kwa hiyo mgao wake unatoka Mwanza huko na mifano mingi tu. Tunajuwa watu wa Mara wanapenda jeshi na wako vizuri kwa hiyo tugawane huko. Huyu mzee hebu afafanue kauli yake ni hatari sana.
 
Sasa Kongwa watu wengi hawana shule kwa hiyo waajiriwe kisa ni uwiano? watu waajiriwe kwa uwezo wao kitaaluma
Na South Afrika enzi za utawala wa Makaburu (apatheid era) walikuwa na mawazo kama yako! Yaani wanasema watu weusi wasipewe kazi maana hawakusoma! Cha ajabu walikuwa hawatoi uwezekano wa hao weusi kuweza kusoma, kwa mfano serikali kuwajengea mashule, walimu wenye uwezo etc.
Hayo hayo kwa Tanzania yamekuwa hivyo. Ni miaka hii ya Magufuli ambavyo kila mtoto amepewa nafasi kwa usawa japokuwa bado msisitizo unahitajika.
Nyerere alijitahidi kwa kuweka pass marks chini kwa sehemu fulani ili kuencourage uwiano sawa - lakini nayo wajanja Waka iabuse!
 
Back
Top Bottom