Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Wakuu amani iwe nanyi
Mwendelezo wa mtifuano mkali, CCM sasa inamtetea mwanamke kwa kila namna.
Ni hivi: Jana spika Job Ndugai alisema kuwa hawezi kuwafukuza bungeni wale akina mama kwa sababu dunia nzima itamshangaa kwa kuwafukuza wanawake bungeni na hali hiyo itapelekea yeye binafsi kuandikwa katika vitabu vya maajabu ya dunia kama spika wa hovyo.
Ikumbukwe pia kuwa wanawake hufukuzwa shule pindi wapatapo ujauzito na hawaruhusiwi kurudi hata baada ya kujifungua.
Sasa swali: Kwanini spika anahisi ni aibu kumfukuza mwanamke bungeni ila ni sawa mwanamke huyohuyo kufukuzwa shule?
Mwendelezo wa mtifuano mkali, CCM sasa inamtetea mwanamke kwa kila namna.
Ni hivi: Jana spika Job Ndugai alisema kuwa hawezi kuwafukuza bungeni wale akina mama kwa sababu dunia nzima itamshangaa kwa kuwafukuza wanawake bungeni na hali hiyo itapelekea yeye binafsi kuandikwa katika vitabu vya maajabu ya dunia kama spika wa hovyo.
Ikumbukwe pia kuwa wanawake hufukuzwa shule pindi wapatapo ujauzito na hawaruhusiwi kurudi hata baada ya kujifungua.
Sasa swali: Kwanini spika anahisi ni aibu kumfukuza mwanamke bungeni ila ni sawa mwanamke huyohuyo kufukuzwa shule?