Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Alivyokua mjinga anadhan anawakomoa chadema, kumbe anaikanyaga katibaHuyo ndugai anajitekenya mwenyewe.. Halima na wenzake siyo wabunge kwa mujibu wa katiba ya nchi kwa sabb chama chao kimesha wavua uanachama.
Mwaka 2017 Sophia Simba alipovuliwa uanachama na CCM huyo huyo ndugai alikuwa spika, mbona hakumkingia kifua? Au Sophia siyo mwanamke?!
Kama hataki kuheshimu Katiba ya nchi aliyoapa kuilinda, hafai kuendelea kuwa spika