Spika Ndugai anasema hawezi kuwafukuza bungeni Wanawake kwa maana dunia itamshangaa; lakini hashangai Serikali kuwafukuza shule wanawake

Alivyokua mjinga anadhan anawakomoa chadema, kumbe anaikanyaga katiba
 
We ni mjinga suala la mbunge kuwa mwanachama lipo kikatiba, kubadilisha kipengele ni kuifanyia katiba mabadiliko

Chadema kazi yake ni kuwapa taarifa tume na spika, sio kazi ya spika na tume kuwapangia nin Cha kufanya chadema
 
"Naagiza Halima popote alipo aje haraka sana mbele ya kamati ya maadili na ikibidi ataletwa hata kwa pingu" punde si punde mtetezi wa wanawake hasa mtetezi wa Halima Mdee na wenzake 18 a.k.a Ndugai anamfukuza Halima bungeni kwa mwaka mzima.
Ndo nashangaa na mie hapa, mweeeeh huyu spika ni hovyoooooh kabisa.
 
Kufukuza watoto wa kike waliopata mimba kwa kurubuniwa na wanaume wakwere na bodaboda ni kuwanyima haki, si tu ya wao kuja kiuwa wabunge bali hata elimu ya awali ya kulea huyo mtoto atakayetokana na mimba, hii ni dhambi kubwa kuliko kumfukuza mbunge ambaye amevunja katiba.
 
Pole sana swali lako litafaa sana kwenye vigodoro. Hapa ni swala la KATIBA ya nchi JMTz
Mwenyewe unajionaaa una hoooooja
Katiba imefuatwa vizuri ndio maana zile nafasi za ubunge zilitangazwa kwenye gazeti la serikali
 
Mwenyewe unajionaaa una hoooooja
Katiba imefuatwa vizuri ndio maana zile nafasi za ubunge zilitangazwa kwenye gazeti la serikali
Shida imeletwa Mara baada ya chadema kuwatimua uwanachama wale wabunge.Ndugai analazimishwa na katiba kuwatoa nje wale wabunge.nje ya hapo anavunja katiba aliyoapa kuilinda na kuifadhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…