Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Mtaalamu wa wanyama pori huyo
Ana akili nzuri sana tu namfahamu, sema hata ungekuwa wewe ungekuwa katika nafasi yake ungefanya kinachoendana na mfumo
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Muite Bujo[emoji23][emoji16][emoji3]Huyu mzee [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nashindwa nimwitaje
Ukipenda unamalizia kabisa "Deportivo la Coruna"[emoji851]Kila nikiona mtu kaandika deportivo nacheka mpaka mbavu zinauma.
Anyway huyu Ndugai anyamaze tu. Yeye yupo huko bungeni hamna cha maana anachokifanya na bado analipwa hela nyingi.
Asitukaushe kizazi mfyuuuu
Ndugai anatakiwa aeleweshwe taratibu kuhusu suala la specialization kwenye taaluma, inawezekana alikimbia umande au alipata elimu ya hapa na pale ya kuunga unga kwa cello tape, msameheni bure..Hayo masomo matatu hadi matano ya kufundishwa na mtu mmoja ni masomo gani hayo?
Yani kwa mfano mwl afundishe masomo yafuatayo:
Physics
Geography
Chemistry
Biology
Kiswahili
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Ndugai BURE kabisa.
Imagine hyo ni akili ya speaker wa jamhuriGunia la pumba haliwezi toa mahindi likikobolewa.
Ni huyo speaker wako analinganisha nchi yetu ambayo tu madawati ni changamoto na nchi ambazo zimeendeleaHivi mazingira ya ulaya na hapa kwetu yanalingana?kea Nini tunapenda kujilinganisha na mataifa makubwa wakati hata Angola wanatuzidi kiuchumi?Ni aibu.
Spika wa muhimili muhimu katika nchi, hahaha hahaha Tz ya viwanda...Hayo ni mawazo ya spika [emoji3][emoji3]
Kauli yake imenikumbusha kombe la dunia ambalo Saudi Arabia walipigwa goli nane, sasa na sisi mpaka jiwe aondoke tutakuwa tumepigwa kumi bila na siyo nane. Nasema Mitano tena...Kuna watu wanakuwaga sehemu viwiliwili tu.
1. Masomo matano wameyasomea lini?
2. Madhara ya kuwa overwork walimu na quality ya elimu ni mauti kwa taifa.
3. Inaonyesha sasa taifa haliijui. na wala halina kipaumbele katika ubora wa elimu.
4. Uhaba huo wa walimu unatoka wapi wakati kuna walimu wengi tu wako mitaani hawana kazi?
5. Kwa nini kuboreshwa skwa elimu hakuzungumziwi? Kushuka kwa elimu na mazingira ya elimu?
Hapa kuna tatizo.
n
hii hoja Rais Magufuli hawezi kuikubali, mzee wetu Magufuli amefundisha ana uzoefu na kufundisha anajua kwamba haiwezekani mwalimu kufundisha masomo matatu hadi matano.Akikazia mawazo ya wabunge kama kawaida yake nimemsikia Mh Speaker ameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuwaongezea masomo ya kufundisha walimu kwa maana ya kuwafundisha kuyafundisha tangu wakiwa vyuoni hasa vyuo vikuu ili kupunguza uhaba wa walimu na kuongeza tija kwa wanafunzi.
Akitolea mfano wa Balozi Mbelwa Kairuki alichomsimulia kule China mwaka jana, Ndugai amesema kuwa kule China vijana wanajua mambo mengi sio kama hapa Tanzania ambapo kijana anajua kazi moja tu kama ni fundi ujenzi ni ujenzi tu na kama ni kuchomelea ni kuchomelea tu.
"Kwanini mwalimu wa high school nafundisha somo moja" eti mmesomea kufundisha somo moja tu ili iweje na uhaba huu wa walimu alihoji speaker Ndugai.
Anatakiwa afundishe masomo matatu, manne au hata kuendelea .hali iliyoibua hoja ya mkwamo wa walimu wanaongojea kazi serkalini na kujiuliza watakwenda wapi? Kama wazo la speaker litafanyiwa kazi.