Spika Ndugai awaapisha Humphrey Polepole na Riziki Lulida. Asema Bunge linawatambua Wabunge 19 wa Viti Maalum waliofutiwa uanachama CHADEMA

Ndio hivyo mkuu.... mimi sijatunga katiba wala kugawa majukumu. Ukiona kuna taasisi haifuati sheria na katiba, unaruhusiwa kwenda kushitaki. Lakini ukweli ndio huo. Mchakato wa kufukuza Mbunge sio mwepesi tu kama kuita press conference.

Tuna tabia ya kuchukulia vitu poa, ndicho kilichowaponza kina Maalim Seif na kujiuzuru kwa Lipumba. Mtu kaandika barua, wao hawakuifanyia kazi. Kesho kaandika barua barua kutengua ile ya kwanza, wanaanza ku-panic.

CHADEMA wamemaliza kikao Ijumaa, weekend inatosha kabisa kuandaa barua rasmi kwenda kwa hao COVID 19, na kwenda kwa Tume kuitaarifu kuwa kikao cha kamati kuu kimewavua uanachama hao watu. Then waone Tume itafanya nini, kama ikishindwa kuchukua hatua stahiki wafuate taratibu za kisheria.
 
Umeuliza na kujibu mwenyewe , ahsante kwa maelezo yako.
 
Ha ha ha, hapo lazima mzee mzima ulegee - watoto 19 wakali wote wa wako! Naona Mdee ndiyo anamyong'onyeza kabisa mzee shingoni.

Yaani hata mie ninge calm down
 
Bidada mi sina stress hata huyo Kayafa wenu akitawala 40 years consecutively (japo hawezi toboa maana mdudu kamchakaza)...
Aah kumbe ndiyo wewe uliyeolewa na basha la kibeberu huko Ulaya!! Endelea huko huko wala hatukuhitaji hapa TZ!! Tabia hiyo watz hatuhitaji kabisa ndiyo maana Lissu Amsterdam amechemsha!
 
Nadhani watu tunapata tabu kuona tofauti ya Shule na Jengo la Shule, Mahakama na Jengo la Mahakama, Kanisa na Jengo la Kanisa, Bunge na Jengo la Bunge.

Mara nyingi hivi vitu ni conceptual zaidi ya literal. Shule inaweza kuwa hata chini ya mpapai, na ikaitwa shule. Kwa wenye kumbukumbuku sawasawa, kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabili Zombe, mahakama iliahamia kwenye msitu wa Pande, unaweza kusema ni batili kisa haikuwa kwenye jengo la mahakama kuu? Hapa Bwana Mbowe alikuwa too literal.
 
Heshima ya chombo muhimu cha kutunga sheria kwisha kabisa
 
Wewe nae unachekesha wafungue kesi kwenye mahakama hipi hapa Tanzania
 
Ndungai keshasahau kuwa yeye ni rubber stamp ya magufuli
 
Bunge linawatambua au spika ndio anawatambua ? , bunge ndio limesema au spika ndio amesema ?
 
Nafasi kumi alizopewa Rais na Katiba ya JMT ni kama katika wabunge waliopo hakuna mtu ana sifa anazotaka lakini sio mbunge ndio anateua sasa huyu wetu anateua watu wa ovyoovyo ili kujaza makasuku kule mjengoni shida
Kumbuka Chadema kwa chaguzi zote za serikali kuu zilizopita wamekuwa wakipeleka bungeni viti maalumu wake zao,mahawala zao,washikaji zao,dada zao,mama zao na hata kwa kuuza nafasi hizo kwa waliofika dau.

Sasa walitegemea safari hii mchezo huo ungeendelea ghafla umeyeyuka wamepaniki hatari .Poleni sana haitotokea tena bahati hiyo kujirudia ni ngumu sana Kama ngamia kupenya kwenye tundu la Sindano
 
Acha kukejeli wewe,usijitoe ufahamu kwa posho mnazopewa na Mbowe kwenda mitandaoni kutetea maamuzi ya kikundi Cha wahuni(kamati kuu ya Chadema) yakiongozwa na jemedari mchumia tumbo Mbowe/Yuda
 
Huku ni kuongeza gharama za bure, si wangeapishwa pamoja na wale COVID- 19 leo.
Bilashaka hata mama yako, shangazi yako, Bibi yako, dada yako nao jina lao ni Covid 19 .Kumbuka hao nao ni wanawake
 
Watu wote wenye akili timamu walishajua kuwa Ndugai atawalinda hao wabunge. Awamu hii katiba inavunjwa waziwazi.
Kamati kuu ya kikundi Cha wahuni kikiongozwa na wahuni Mnyika na Mbowe hawawezi msababisha mtu avuliwe ubunge.
 
Nafasi kumi alizopewa Rais na Katiba ya JMT ni kama katika wabunge waliopo hakuna mtu ana sifa anazotaka lakini sio mbunge ndio anateua sasa huyu wetu anateua watu wa ovyoovyo ili kujaza makasuku kule mjengoni shida
Yani anayekufaa wewe unadhani anafaa kwa kila mtu? Fikiria nje ya box lako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…