johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Spika Ndugai amewataka wabunge wafikirie kujenga nyumba jijini Dodoma badala ya kutegemea nyumba za kupanga.
Ndugai amesema hayo baada ya wabunge kudai TBA inawasumbua kuhusiana na mikataba yao ya upangaji na kuliomba bunge liwasaidie.
Spika Ndugai amewaambia wabunge wanapaswa kujenga nyumba Dodoma kwani ni mahali pazuri na kwamba hata wabunge wa Kenya wote wamejenga nyumba zao Nairobi na wabunge wote wa Uganda wanamiliki nyumba Kampala.
Ndugai amemalizia kwa kushauri kwa sababu bunge linavunjwa June 19 na wabunge wote watalipwa kiinua mgongo kizuri sana basi wamwone waziri Jaffo au Lukuvi wawape viwanja na kujenga nyumba haraka kwani kwa mbunge Dodoma ni second home.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Ndugai amesema hayo baada ya wabunge kudai TBA inawasumbua kuhusiana na mikataba yao ya upangaji na kuliomba bunge liwasaidie.
Spika Ndugai amewaambia wabunge wanapaswa kujenga nyumba Dodoma kwani ni mahali pazuri na kwamba hata wabunge wa Kenya wote wamejenga nyumba zao Nairobi na wabunge wote wa Uganda wanamiliki nyumba Kampala.
Ndugai amemalizia kwa kushauri kwa sababu bunge linavunjwa June 19 na wabunge wote watalipwa kiinua mgongo kizuri sana basi wamwone waziri Jaffo au Lukuvi wawape viwanja na kujenga nyumba haraka kwani kwa mbunge Dodoma ni second home.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!