Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nashangaa.Asituchoshe wakati wanakopeshana mbona hakutuambia?
Sasa unategemea nini kwa MTU aliyeingia bungeni kwa kupiga fimbo mwenzake? Kwake hiyo ni point yenye afya kwa wapiga kura wake!!
Taifa la wajinga na matakataka imatuhusu nn sisi kujua hayo ya kuondoka mikono mitupu
Klmmyk
Uko nchi gani mwenzetu
Taifa la wajinga na matakataka imatuhusu nn sisi kujua hayo ya kuondoka mikono mitupu
Klmmyk
Sent using Jamii Forums mobile app
Very stupid statement to the country's citizenry! Hatuhitaji kujua pesa wanazoondoka nazo wabunge. Tunataka kujua mafanikio yao kusimamia maslahi ya wananchi. Kazi ya wabunge siyo kutafuta pesa za kuondoka nazo! Imekuwaje spika analeta maneno yasiyomsaidia mwananchi.Spika wa bunge mh Job Ndugai amesema wabunge wengi wanaelemewa na madeni na kuna uwezekano mkubwa baadhi yao wakaondoka mikono mitupu baada ya bunge kuvunjwa rasmi mwishoni mwa mwezi June.
Kwa kawaida wabunge hulipwa kiinua mgongo kila baada ya miaka mitano ya kuwatumikia wananchi.
Source Tanzania Daima.
Maendeleo hayana vyama!
Very stupid statement to the country's citizenry! Hatuhitaji kujua pesa wanazoondoka nazo wabunge. Tunataka kujua mafanikio yao kusimamia maslahi ya wananchi. Kazi ya wabunge siyo kutafuta pesa za kuondoka nazo! Imekuwaje spika analeta maneno yasiyomsaidia mwananchi.