Spika Ndugai: Baadhi ya wabunge wataondoka mikono mitupu kwa sababu wanaelemewa na madeni sugu

Very stupid statement to the country's citizenry! Hatuhitaji kujua pesa wanazoondoka nazo wabunge. Tunataka kujua mafanikio yao kusimamia maslahi ya wananchi. Kazi ya wabunge siyo kutafuta pesa za kuondoka nazo! Imekuwaje spika analeta maneno yasiyomsaidia mwananchi.
 


Yule Mwezi mchanga...au menopause!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…