Spika Ndugai: Bunge lisilaumiwe kwa kupitisha sheria ambazo baada ya muda mfupi zinarudishwa bungeni kufanyiwa marekebisho

Ametudhihirishia kuwa hana say mbele ya mawaziri wakimkomalia. Kuna faida gani ya kupeleka miswada bungeni?
 
Anaongea nini huyu!! anathibitisha kuwa aliyosema prof. Assad kuwa kweli tena kweli tupu

Swala ni waziri kung'ang'ania au bunge kuchambua hoja na kufanya maamuzi sahihi kwamanufaa ya watu na taifa kiujumla?

Kumbe kweli ni rubber stamp tuu hao,kwao ni kupitisha kilicholetwa. AIBU, AIBU TENA AIBU KUUUUUBWA.

Kweli hatuna taasisi huru hapa ni fedheha tupu!

Kwanza alidai rais akisema yeye ninani mpaka abishe! Aki refer ishu ya bagamoyo. AIBU.

Pili akadai sheria zilipita yeye ama kalala ama kasafiri. Tunamlipa mamilioni akalale bungeni?? Akisafiri huwa anawaachia mazuzu ofisi?

Sasahivi anadai mawaziri wanang'ang'ania!!! Eti wao wanaona sio sahihi lakini wanasema basi sasa sheria ipite!!

Kazi ya bunge nikutunga sheria anatuambia wasilaumiwe wanapotunga sheria mbovu kwakuwa sio wao. Sio wao wanaotunga sheria wameporwa haki hiyo sasa ni mawaziri ndio hutunga sheria so tuwahoji wao mawaziri bunge hupitisha tuu wanavyoletewa.

VERY BIG BIG SHAME, WHAT A SHAMELESS LEADER

TUNAHITAJI KATIBA MPYA HARAKA, TUSICHELEWESHWE NA MAZUZU
 

Mbona walishasema wanafanya kazi kwa kushirikiana au umesahau?
 
Kuna mhimili mmoja umechimbiwa chini zaidi- Jiwe 2016
 
Ile dhana ya "Bunge linatunga sheria" ni muda muafaka kwa watu kuifuta mawazoni mwao ( kwa wale wanaofikiri hivyo)
 
Wakati mwingine kukaa kimya huwa ni vizuri zaidi, Kwa kifupi tu tanzania hatuna bunge bali tuna interest za watu
 
Wakati mwingine kukaa kimya huwa ni vizuri zaidi, Kwa kifupi tu tanzania hatuna bunge bali tuna interest za watu
Wananchi wanategemea maendeleo katika uongozi wa aina hii. Bila kuitoa CCM madarakani hata Msumbji watatupita kama China na Korea zilivyo tuacha.
 
Wananchi wanategemea maendeleo katika uongozi wa aina hii. Bila kuitoa CCM madarakani hata Msumbji watatupita kama China na Korea zilivyo tuacha.
Kuna wakati unaweza kudhania nchi inaongonzwa na mazombie yaani kiukweli kuna vitu vinatia hasira mpaka basi
 
Bunge linajua kabisa hii Sheria itawaumiza Wananchi ambao ndio waliowachagua kuwa Wabunge linapitisha hill ni Bunge Zuzu na ndio Maana Bunge hilo tunastahili Wabunge wake kuitwa MAZUZU
 
Bunge linajua kabisa hii Sheria itawaumiza Wananchi ambao ndio waliowachagua kuwa Wabunge linapitisha hill ni Bunge Zuzu na ndio Maana Bunge hilo tunastahili Wabunge wake kuitwa MAZUZU
Wabunge wengi ‘walipita bila kupingwa’ na wengine walitangazwa kwa hisani ya wakurugenzi. Bunge hili hakuna baraka ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…