StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Siku ziende waondoke haraka?.Umeshasema kuwa hawafuati sheria za nchi lakini still bado unaamini kuwa watatoka.Binafsi sidhani,labda kama wamejipangia sheria za kuzitii na za kuzisigina.Awamu hii hawafuati sheria za nchi, usijisumbue, wanajua vizuri kabisa wanavunja sheria lakini hawajali, msijichoshe kupigia mbuzi gitaa, muhimu tuombe kama taifa siku ziende haraka mwisho wao ufike waondoke, au Mungu akipendezwa awapende zaidi mapema.
Ile siku bwana mdogo Ndugai anamuapisha Polepole lakini anaongelea mambo ya Chadema na kusema kuna "unyanyasaji wa kijinsia" akiwatumia akina Halima Mdee kama Mfano. Halima anafanya press yake na kusema Chadema hakuna mfumo dume kama inavyoelezwa, maana wao wamekuwa viongozi huko. Ndugai anajionaje?Sasa utaiacha CCM umchague nani nchi hii ? Hivyo vyama vya kuunga mkono ushoga na kuuza nchi ndio tuvichague ? Endelea kijifariji humu lakini kumbukeni hiyo EU haiwezi kuwaweka wapinzani madarakani.
Usikute kameshanunua uchawi ndio maana kana roho mbaya Kama sura yakeYaani nimetoka kukichukia ki Ndugai sijui kama nini! Kazee kamekuwa kajinga, kapumbavu na kalofa sana haka!
Hii ni edisiii yani speed yake kama 5G inavimbisha ubongo na mgonjwa kuna kichaaWe subiri utaelewa tu
Very trueSiku ziende waondoke haraka?.Umeshasema kuwa hawafuati sheria za nchi lakini still bado unaamini kuwa watatoka.Binafsi sidhani,labda kama wamejipangia sheria za kuzitii na za kuzisigina.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Amechaguliwa na maccm wenzie. Hivi wamekosa kabisaaa mtu mwenye hekima walau kidogo tu kushika hiyo nafasi?!Mlitegemea nini kumchagua mgonjwa sugu wa matatizo ya akili awe spika wa Tanzagiza ?
Na ndugayi huyu huyu ndo alikuwa spika wakati huo!Refer mwaka 2017 wakati CCM inamvua ubunge Sophia Simba, akiwa Mwenyekiti wa kina mama hapo hapo mbunge wa viti maalum, ubunge wake ulikoma pale pale, CCM ilipotangaza kumvua uanachama.
Kwanini hivi sasa Spika Ndugai afanye vinginevyo, wakati Chadema ilipofanya vivyo hivyo kwa kikao chake cha Kamati Kuu kuamua kuwavua uanachama wabunge wake wa akina Halima Mdee?
Jibu ni rahisi marukanga yanamsumbua,mpka kichwa ni kuna vidonda dawa za kupunguza makali ya uchimwi ni kali sana.
Vimemtoa vidonda kwenye ubongo[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1638896
Hao ni wabunge wake na CCM yakeNimeshangazwa sana na kauli aliyotoa Spika Ndugai hivi leo, wakati akiwaapisha wabunge wapya Humphrey Polepole na yule mwanamama Riziki Lulida, kuwa wabunge wa kuteuliwa na Rais katika zile nafasi zake 10 alizopewa kwa mujibu wa Katiba
Spika Ndugai amenukuliwa akisema kuwa hatambui maamuzi yaliyofanywa na Kamati Kuu ya Chadema na akaendelea kusisitiza kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao 19 aliowaapisha wiki iliyopita kuwa ni wabunge halali!
Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa yeye analazimika kuongoza Bunge lake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977
Katiba hiyo katika ibara ya 71(1)(e) inasema kama ifuatavyo nanukuu:-
Ibara ya 71(1)
Mbunge yeyote atakoma kuwa mbunge na ataacha kiti chake litokeapo lolote kati ya yafuatayo.
Ibara ya 71(e)
Ikiwa Mbunge huyo atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa alichokuwemo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa mbunge.
Katiba ya nchi yetu haina wagombea binafsi, sasa tumuulize Spika Ndugai anaposema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao waliuvuliwa uanachama wao na Chadema, atawatambua wakiwa ni wanachama wa chama gani?
Sasa sielewi Spika Ndugai anaposema kuwa hao wabunge wa viti maalum wa Chadema wataendelea kuwa wabunge, anasimama katika Ibara ipi katika Katiba hii ya nchi?
Wenyewe tumeisoma Katiba ya nchi na ipo wazi sana katika suala hili.
Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa hii siyo Mara ya kwanza kwa chama cha siasa kufukuza wanachama wake na Bunge hilo likatii maamuzi hayo ya Chama, kwa kuwa ndivyo inavyotakiwa kwa mujibu wa Katiba.
Mwezi March 2012, Chama Cha Mapinduzi kiliwafukuza wanachama wake 12 na miongoni mwao alikuwemo, Sofia Simba, aliyekuwa Mwenyekiti wa wanawake, ambaye pia alikuwa ni mbunge.
Kilichofuata ni huyo Sophia Simba kuvuliwa ubunge wake, kwa kuwa lilikuwa ni sharti la Kikatiba.
Mwezi July 2017, Kikao cha Kamati Kuu cha CUF kiliwavua uanachama wao wabunge wanane wa chama hicho.
Vile vile Bunge hilo lilitekeleza Mara moja na kuwavua wabunge hao, ubunge wao kwa kuwa ni kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
Sasa swali linakija ni kwanini chama cha Chadema kilivyotekeleza sharti hilo la Kikatiba, Bunge hilo hilo liwe na maamuzi tofauti?
Hii double Standard ya utekelezaji wa sheria inatokana na nini?
Nimalizie kwa kusema kuwa Spika Ndugai hana mamlaka yoyote ya kikatiba ya kuingilia maamuzi yaliyofanywa na chama cha kisiasa kinachotambulika kihalali na msajili wa vyama vya siasa.
Anachofanya Ndugai ni kuiingiza nchi hii katika mgogoro mkubwa wa Kikatiba ambao haujawahi kutokea katika siku za nyuma.
Kwa maana hiyo watanzania wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa tunapaswa kumkemea kwa nguvu zetu zote huyu Spika Ndugai, kwamba anaipeleka nchi hii na kuitumbukiza shimoni
Jk alimpa hio nafasi makusudi kumkomesha LowahasaAmechaguliwa na maccm wenzie. Hivi wamekosa kabisaaa mtu mwenye hekima walau kidogo tu kushika hiyo nafasi?!
Kimsingi "Tizii" kumeingia mgeni. Mgeni yuleee aliyeimbwa na John Komba kwa fasihi ya hali ya juu tukijua kuwa ni "Ukimwi". Mgeni anatamba sasa.
Ebu nikuulize kwanza, hivi Katibu Mkuu wa Chadema Bwana John Mnyika ameishamwandikia barua rasmi Spika wa Bunge kuhusu kuwafukuza uanachama akina Mdee?Nimeshangazwa sana na kauli aliyotoa Spika Ndugai hivi leo, wakati akiwaapisha wabunge wapya Humphrey Polepole na yule mwanamama Riziki Lulida, kuwa wabunge wa kuteuliwa na Rais katika zile nafasi zake 10 alizopewa kwa mujibu wa Katiba
Spika Ndugai amenukuliwa akisema kuwa hatambui maamuzi yaliyofanywa na Kamati Kuu ya Chadema na akaendelea kusisitiza kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao 19 aliowaapisha wiki iliyopita kuwa ni wabunge halali!
Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa yeye analazimika kuongoza Bunge lake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977
Katiba hiyo katika ibara ya 71(1)(e) inasema kama ifuatavyo nanukuu:-
Ibara ya 71(1)
Mbunge yeyote atakoma kuwa mbunge na ataacha kiti chake litokeapo lolote kati ya yafuatayo.
Ibara ya 71(e)
Ikiwa Mbunge huyo atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa alichokuwemo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa mbunge.
Katiba ya nchi yetu haina wagombea binafsi, sasa tumuulize Spika Ndugai anaposema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao waliuvuliwa uanachama wao na Chadema, atawatambua wakiwa ni wanachama wa chama gani?
Sasa sielewi Spika Ndugai anaposema kuwa hao wabunge wa viti maalum wa Chadema wataendelea kuwa wabunge, anasimama katika Ibara ipi katika Katiba hii ya nchi?
Wenyewe tumeisoma Katiba ya nchi na ipo wazi sana katika suala hili.
Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa hii siyo Mara ya kwanza kwa chama cha siasa kufukuza wanachama wake na Bunge hilo likatii maamuzi hayo ya Chama, kwa kuwa ndivyo inavyotakiwa kwa mujibu wa Katiba.
Mwezi March 2012, Chama Cha Mapinduzi kiliwafukuza wanachama wake 12 na miongoni mwao alikuwemo, Sofia Simba, aliyekuwa Mwenyekiti wa wanawake, ambaye pia alikuwa ni mbunge.
Kilichofuata ni huyo Sophia Simba kuvuliwa ubunge wake, kwa kuwa lilikuwa ni sharti la Kikatiba.
Mwezi July 2017, Kikao cha Kamati Kuu cha CUF kiliwavua uanachama wao wabunge wanane wa chama hicho.
Vile vile Bunge hilo lilitekeleza Mara moja na kuwavua wabunge hao, ubunge wao kwa kuwa ni kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
Sasa swali linakija ni kwanini chama cha Chadema kilivyotekeleza sharti hilo la Kikatiba, Bunge hilo hilo liwe na maamuzi tofauti?
Hii double Standard ya utekelezaji wa sheria inatokana na nini?
Nimalizie kwa kusema kuwa Spika Ndugai hana mamlaka yoyote ya kikatiba ya kuingilia maamuzi yaliyofanywa na chama cha kisiasa kinachotambulika kihalali na msajili wa vyama vya siasa.
Anachofanya Ndugai ni kuiingiza nchi hii katika mgogoro mkubwa wa Kikatiba ambao haujawahi kutokea katika siku za nyuma.
Kwa maana hiyo watanzania wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa tunapaswa kumkemea kwa nguvu zetu zote huyu Spika Ndugai, kwamba anaipeleka nchi hii na kuitumbukiza shimoni
Issue siyo Katibu Mkuu wa Chadema kuandika barua, suala ni yeye Spika wa Bunge kuonyesha dhahiri anawabeba hao wabunge waliofukuzwa na chama chao cha Chadema, kwa kusema hadharani kuwa hatambui maamuzi hayo yaliyofanywa na ChademaEbu nikuulize kwanza, hivi Katibu Mkuu wa Chadema Bwana John Mnyika ameishamwandikia barua rasmi Spika wa Bunge kuhusu kuwafukuza uanachama akina Mdee?
Dah!Issue siyo Katibu Mkuu wa Chadema kuandika barua, suala ni yeye Spika wa Bunge kuonyesha dhahiri anawabeba hao wabunge waliofukuzwa na chama chao cha Chadema, kwa kusema hadharani kuwa hatambui maamuzi hayo yaliyofanywa na Chadema