Spika Ndugai hana mamlaka ya kupinga maamuzi halali yaliyofanywa na Kamati kuu ya CHADEMA

Siku ziende waondoke haraka?.Umeshasema kuwa hawafuati sheria za nchi lakini still bado unaamini kuwa watatoka.Binafsi sidhani,labda kama wamejipangia sheria za kuzitii na za kuzisigina.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Sasa utaiacha CCM umchague nani nchi hii ? Hivyo vyama vya kuunga mkono ushoga na kuuza nchi ndio tuvichague ? Endelea kijifariji humu lakini kumbukeni hiyo EU haiwezi kuwaweka wapinzani madarakani.
Ile siku bwana mdogo Ndugai anamuapisha Polepole lakini anaongelea mambo ya Chadema na kusema kuna "unyanyasaji wa kijinsia" akiwatumia akina Halima Mdee kama Mfano. Halima anafanya press yake na kusema Chadema hakuna mfumo dume kama inavyoelezwa, maana wao wamekuwa viongozi huko. Ndugai anajionaje?
 
Na ndugayi huyu huyu ndo alikuwa spika wakati huo!
 
Hao ni wabunge wake na CCM yake
 
Ebu nikuulize kwanza, hivi Katibu Mkuu wa Chadema Bwana John Mnyika ameishamwandikia barua rasmi Spika wa Bunge kuhusu kuwafukuza uanachama akina Mdee?
 
Ebu nikuulize kwanza, hivi Katibu Mkuu wa Chadema Bwana John Mnyika ameishamwandikia barua rasmi Spika wa Bunge kuhusu kuwafukuza uanachama akina Mdee?
Issue siyo Katibu Mkuu wa Chadema kuandika barua, suala ni yeye Spika wa Bunge kuonyesha dhahiri anawabeba hao wabunge waliofukuzwa na chama chao cha Chadema, kwa kusema hadharani kuwa hatambui maamuzi hayo yaliyofanywa na Chadema

Ina maana kuwa Katibu Mkuu wa Chadema aandike barua au asiandike, tayari Spika wa Bunge keshatoa msimamo wake kwa kuvunja Katiba ya nchi ambayo inaeleza wazi namna mbunge anavyoweza kupoteza nafasi yake ya ubunge
 
Issue siyo Katibu Mkuu wa Chadema kuandika barua, suala ni yeye Spika wa Bunge kuonyesha dhahiri anawabeba hao wabunge waliofukuzwa na chama chao cha Chadema, kwa kusema hadharani kuwa hatambui maamuzi hayo yaliyofanywa na Chadema
Dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…