Spika Ndugai haya uliyosema kuhusu Wabunge wa CHADEMA waliofukuzwa mbona mwaka 2017 hukuyasema wabunge wa CUF walipotimuliwa?

Kama Nape Nnauye atakomaa nao lazima watatolewa nduki bungeni.

Nyuma ya Nape kuna nguvu kubwa isiyoonekana ambayo imeapa kuvisambaratisha vikaragosi vyote vya naniliu!
Mimi naamini Mama yuko nyuma ya Nape na watu wasidhani hawa jamaa walioamua kufunguka wanakurupuka, bali wajue wana support kubwa tu ya watu wazito katika chama na serikali.
 
Kuweni na huruma na wamama, wale ni mama zetu jamani!

Sasa mnataka warudi nyumbani wakaoshe vyombo na kupiga deki!
 
Kama Nape Nnauye atakomaa nao lazima watatolewa nduki bungeni.

Nyuma ya Nape kuna nguvu kubwa isiyoonekana ambayo imeapa kuvisambaratisha vikaragosi vyote vya naniliu!
Hiyo nguvu iliyopo nyuma ya Nape imeishia kwa Nape au imeenda mbali zaidi hadi kutoka nje ya bunge?
 
Mambo mengine ni aibu tupu, hivi unakuwaje mbunge usie na chama? Unafiki, usaliti na tamaa hii hakika haitakuja kuwa baraka kwao. Ndugai asipambane na Nape aeleze watanzania uhalali wa wabunge hao kuwepo bungeni, ajibu barua ya Chama na sio kuiita kipeperushi. You can full people but not all the time.
 
Una wazimu si bure
 
Mleta mada umesema sahihi, Ndugai akiachwa na Hawa Hawara zake aendelee kuvunja Katiba kuna siku atafanya kubwa zaidi na wote tutaathirika zaidi. Hapa naona sio suala la Vyama bali ni suala la kuilinda Katiba na Mpuuzi yoyote atayetetea hao wendawazimu wa Job nae atakua adui wa demokrasia yetu
 
Yeye anawaombea wenzake msamaha yeye hajiombei
Ila ashakubali kama alikosea. Atazingatia matakwa ya katiba hivi punde.
Nishampa maelekezo. Sawa jamani
 
Pale ni aiza afe beki ama afe kipa, ila mpira hauingii nyavuni.

Yaani waache 12plus warudi kijiweni maisha ya kuombaomba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…