Akili za huyo Spika ni kielelezo cha viongozi wa CCM na wanachama wake.
Upo Sawa kumwonea huruma, na ni desturi zetu waafrika kuwaonea Huruma na kuwafariji waliopatwa na msiba! Nakuunga mkono na nitafuata nyayo zako! Kufiwa na #munguwakabudi ambaye ni #yesuwalugola siyo jambo dogo!Nakuonea huruma
DuNdiyo maana Udom ipo pale kati ya wanafunzi elfu 50 wagogo hawazidi 100 mzee.
Upo sahihi kabisa maana hii ni aibu ya mwaka .Kutokana na shinikizo la kutaka wabunge hawa waondolewe Bungeni, na pia ili kumpa Spika amani na zaidi ili kulinda hadhi ya Bunge isiendelee kuporomoka, wenye mamlaka watawataka wabunge hawa wajiuzu ila watahakikisha wanalindwa hata wakiwa nje ya Bunge.
CCM na Ndugai swala hili limewakalia vibaya na sioni uwezekano wao wao kuendelea kuwalinda hawa wabunge zaid ya kuwataka tu watangaze kujiuzulu ila watakubaliana wabunge hawa waseme nini kwa umma siku ya kutangsza kujiuzulu.
Hii aibu ni ngumu kuibeba tena huku nafasi inskusta hivyo ni swala la muda tu.
Baada ya Bunge hili kwisha,sitarajii kama watarudi katika mkutano ijayo wa Bunge
Tusubiri.
Kapike mutwishe na fia wewe.Sawa Sheikh Yahya. Ngoja tusubiri!!!
Namshukuru sana Mungu kwa kukuondolea mauza uza ya ccm kichwani mwako na sasa upo huruuuu.Kama Nape Nnauye atakomaa nao lazima watatolewa nduki bungeni.
Nyuma ya Nape kuna nguvu kubwa isiyoonekana ambayo imeapa kuvisambaratisha vikaragosi vyote vya naniliu!
Naomba wataalamu wa Sheria watuambie, Je HAIWEZEKANI kwenda kuiomba Mahakama ifanye Judicial Review ya hii issue?Kutokana na shinikizo la kutaka wabunge hawa waondolewe Bungeni, na pia ili kumpa Spika amani na zaidi ili kulinda hadhi ya Bunge isiendelee kuporomoka, wenye mamlaka watawataka wabunge hawa wajiuzu ila watahakikisha wanalindwa hata wakiwa nje ya Bunge.
CCM na Ndugai swala hili limewakalia vibaya na sioni uwezekano wao wao kuendelea kuwalinda hawa wabunge zaid ya kuwataka tu watangaze kujiuzulu ila watakubaliana wabunge hawa waseme nini kwa umma siku ya kutangsza kujiuzulu.
Hii aibu ni ngumu kuibeba tena huku nafasi inskusta hivyo ni swala la muda tu.
Baada ya Bunge hili kwisha,sitarajii kama watarudi katika mkutano ijayo wa Bunge
Tusubiri.
Leo nilimuona anaongea kwa kujichanganya changanya huku mate yakimwagika.Yameanza kuwashinda na ndio maana Spika kaanza kutapatapa.
Hata Mama anaweza asikubali kubeba makosa haya ya Magu kama ambayo ameanza kunawa mikono kwa baadhi ya mambo ingawa mengine yatamshinda.
Ndugaye ndiyo safari yake ya kustaafu inaanza kuingiwa na mikosi.Mimi naamini Mama yuko nyuma ya Nape na watu wasidhani hawa jamaa walioamua kufunguka wanakurupuka, bali wajue wana support kubwa tu ya watu wazito katika chama na serikali.
Wewe ndiyo umerogwa kabisaUna wazimu si bure
Hawatajiamulia wao bali watalazimishwa na wenye maamuzi kuliko Ndugaye.Pale ni aiza afe beki ama afe kipa, ila mpira hauingii nyavuni.
Yaani waache 12plus warudi kijiweni maisha ya kuombaomba!
Umemsahau na Ally KesiUpo Sawa kumwonea huruma, na ni desturi zetu waafrika kuwaonea Huruma na kuwafariji waliopatwa na msiba! Nakuunga mkono na nitafuata nyayo zako! Kufiwa na #munguwakabudi ambaye ni #yesuwalugola siyo jambo dogo!
Hata kama binafsi sina ABC za sheria lkn naona lipo wazi sana .Naomba wataalamu wa Sheria watuambie, Je HAIWEZEKANI kwenda kuiomba Mahakama ifanye Judicial Review ya hii issue?
Nami sitoshangaa kama Baraza kuu la chama mpaka kufika 2025 litakuwa halijaketi kusikiriza hizo rufaaKutokana na shinikizo la kutaka wabunge hawa waondolewe Bungeni, na pia ili kumpa Spika amani na zaidi ili kulinda hadhi ya Bunge isiendelee kuporomoka, wenye mamlaka watawataka wabunge hawa wajiuzu ila watahakikisha wanalindwa hata wakiwa nje ya Bunge.
CCM na Ndugai swala hili limewakalia vibaya na sioni uwezekano wao wao kuendelea kuwalinda hawa wabunge zaid ya kuwataka tu watangaze kujiuzulu ila watakubaliana wabunge hawa waseme nini kwa umma siku ya kutangsza kujiuzulu.
Hii aibu ni ngumu kuibeba tena huku nafasi inskusta hivyo ni swala la muda tu.
Baada ya Bunge hili kwisha,sitarajii kama watarudi katika mkutano ijayo wa Bunge
Tusubiri.
Kazi ya mwanasiasa ni kutengeneza tatizo na baadae aje alitatue ili aonekane shujaa.Hawatajiamulia wao bali watalazimishwa na wenye maamuzi kuliko Ndugaye
Corona inatibikaSpika Ndugai yuko imara kuhakikisha HAKI za kila MTU zinalindwa.