Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Amezungumza live mkuu hata mimi mwenyewe nimeshangaa snAcheni kumlisha maneno,
Ndugai hawezi kuzungumza maneno ya hekima hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amezungumza live mkuu hata mimi mwenyewe nimeshangaa snAcheni kumlisha maneno,
Ndugai hawezi kuzungumza maneno ya hekima hivi
Wanasoma upepo tume ya Mahera haina nguvu tenaKwanini wasitunge sheria kuzuia hali hiyo, au mpaka Rais aseme.
Hakuna bunge tena hilo ni tawi la CCMMradi huu ni wa polisi wa CCM bunge ni wawewezeahaji kupitia Sheria mlizotunga.inatia kichefuchefu kusikia spika anaongea ujinga badala ya kuchua hatua ya kurekebisha Sheria ovu.hatoshi kabisa huyu CHAWA wa mwendazake
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huyo mzee ni kichaa mkuuYeye alipokuwa anaagiza CAG aletwe bungeni hata kwa Pingu hakujuyajua haya?
Ni chizi huyo mzeeKwake huyo pimbi wanaotakiwa kuwekwa mahabusu ni wapinzani, Kina Lema, Sugu, Mbowe, Msigwa nk. Hii nchi ingekuwa na utawala wa sheria na haki za binaadamu hicho kipimbi siyo Cha kuwa spika wa bunge letu tukufu, kilitakiwa kiwe magereza, shame on him
Sheria zinatungwa na Bunge lakini matakwa ya sheria gani itungwe au ibadilishwe yanatoka Serikalini.Kwanini wasitunge sheria kuzuia hali hiyo, au mpaka Rais aseme.
Hiyo Ni Photoshop mkuu, usiiamini sanaAmezungumza live mkuu hata mimi mwenyewe nimeshangaa sn
Mbowe anawekwa Mahabusu maana Nyumbani kwake hata hapajulikani! Mara Dar,Mara Moshi,Mara Arusha,Mara Dubai,yaani Askari unachanganyikiwa hujuwi uchukuwe address ipi!!Ila mbowe akiwekwa mahabusu yeye ndugai kwakwe huwa ni sherehe[emoji849]
Ndugai bhana
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Nakubali maana yule mzee ni kichaaHiyo Ni Photoshop mkuu, usiiamini sana
Lakini wabunge wa wapinzani walipowekwa ndani kwa makosa yanayodhaminika aliona sawa tu!Ndungai anatuchukulia sisi ni mazoba sana.
Halleluyaaah, usikute NTU kaingia na mafuta ya upakoo mjengoni, anyway wamisho atakuwa wa kwanza kama ilivyoandikwa.Spika wa Bunge la Tanzania amesema Polisi wanakamata Watu hovyo wengine wenye heshima zao na wanajulikana wanakoishi lakini wanarundikwa tu Rumande bila ulazima wowote.
Ndugai amesema "inatakiwa tujifunze kwa Nchi za wengine ambapo Mtu huwa anaitwa kituoni na kufanyiwa mahojiano kisha kuruhusiwa kurudi nyumbani kwasababu anafahamika na hawezi kukimbia. Huku ukishakuwa Askari tunaona kuweka Watu ndani ni raha".
Ameongeza "Hiki kitu binafsi kinaniuma sana. Mtu anawekwa ndani wiki nzima au mwezi halafu baadae anakuja anaachiwa wakati shughuli zake nyingi zimeshasimama. Sheria nazo hata ukitoka huwezi kudai chochote, Waafrika hatuthaminiani".
Tuna viongozi wanaounda vidonge ganzi kama chanjo ya kuendana na awamu iliyoko ikulu. Usanii kweli kweli. Mtu anaongea leo utafikiri ubongo umebadilishwa?Ndugai mwenyewe au umemlisha maneno?😂
Amelaaniwa huyo mzeeLakini wabunge wa wapinzani walipowekwa ndani kwa makosa yanayodhaminika aliona sawa tu!