Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema Jimbo la Hai limepata Mbunge hivi sasa, akiongeza aliyekuwepo kabla ya hapo alikuwa anazurura kila mahali.
Akiwa Bungeni Dodoma leo, Ndugai amesema, "Alikuwa haulizi maswali Bungeni, haeleweki. Lakini sasa Mbunge mnaye kabisa"
Kauli yake imekuja baada ya Mbunge Saasisha Mafuwe kuhoji ni lini Serikali itatekeleza ahadi ya kumaliza mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wananchi na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (KIA).
Mbunge huyo amesema mgogoro umekuwepo muda mrefu, na jambo hilo limesababisha wananchi kukosa maeneo ya malisho na kuishi kwa wasiwasi kwenye maeneo yao.
Pia soma > Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG
Ndungai ana chuki binafsi na Mbowe, hilo liko wazi,ukichanganya na tuhuma anazopewa sasa na wanaccm za kumsaliti JPM amechanganyikiwa naona kile kiuvumbe kichwani kinaweza pasuka muda wowote tu.
Mbowe usirudi tena bungeni uliturostisha sana wana hai. Mbowe hastahili kupewa heshima anayopewa.
Mbowe ni akili Kubwa.Ndugai mbona yuko too obsessed sana na Mbowe!
Ndugai ana laana siyo bure, nyumba za tembe za Kongwa anadhani na Hai kuna nyumba za tembeNdugai kuna uwezekano mkubwa aliibiwa kimwana na Mbowe
Kila alhamis nani akiyekua anamuuliza waziri Mkuu maswali ya kwanza?
Ndugai amelaaniwaJimbo la Kongwa nafikiri ni duni kuliko majimbo yote, ni kwa sababu Ndugu yai haulizi maswali.
Na zile sheli zake kimeo... kazi yakutisha watu tu nakurogaSijawahi kuona mzee mjinga kama huyu, Kongwa amepeleka maendeleo gani?
Ana laana ya kuzaliwa nayoNa zile sheli zake kimeo... kazi yakutisha watu tu nakuroga
Spika ni maskini wa akili ndio mana anatoka kabila la ombaomba,anawashwa mzuti kwa kasi sana itakua dawa za kupunguza makali zimeishaSpika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema Jimbo la Hai limepata Mbunge hivi sasa, akiongeza aliyekuwepo kabla ya hapo alikuwa anazurura kila mahali.
Akiwa Bungeni Dodoma leo, Ndugai amesema, "Alikuwa haulizi maswali Bungeni, haeleweki. Lakini sasa Mbunge mnaye kabisa"
Kauli yake imekuja baada ya Mbunge Saasisha Mafuwe kuhoji ni lini Serikali itatekeleza ahadi ya kumaliza mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wananchi na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (KIA).
Mbunge huyo amesema mgogoro umekuwepo muda mrefu, na jambo hilo limesababisha wananchi kukosa maeneo ya malisho na kuishi kwa wasiwasi kwenye maeneo yao.
Pia soma > Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG
Kama unalinganisha maendeleo ya jimbo lako la kongwa na jimbonla hai kule kilimanjaro utakuwa uliosoma pcb ukapata division fourSpika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema Jimbo la Hai limepata Mbunge hivi sasa, akiongeza aliyekuwepo kabla ya hapo alikuwa anazurura kila mahali.
Akiwa Bungeni Dodoma leo, Ndugai amesema, "Alikuwa haulizi maswali Bungeni, haeleweki. Lakini sasa Mbunge mnaye kabisa"
Kauli yake imekuja baada ya Mbunge Saasisha Mafuwe kuhoji ni lini Serikali itatekeleza ahadi ya kumaliza mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wananchi na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (KIA).
Mbunge huyo amesema mgogoro umekuwepo muda mrefu, na jambo hilo limesababisha wananchi kukosa maeneo ya malisho na kuishi kwa wasiwasi kwenye maeneo yao.
Pia soma > Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG