Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Ipo wana eneo juzi kati nilisikia, hapo Mvomero mpaka Kilosa, wananuia kupangisha vitalu vya ufugaji, serikali, ikusanye mapato. Shida inakuja ndani humo huko kuna wakulima waliouziwa maeneo na watendaji sijui wenyeviti.
Vurugu tupu. Kweli serikali haiwezi kuchunga ng'ombe. Ilaaa mmmh
Everyday is Saturday............................... 😎
Vurugu tupu. Kweli serikali haiwezi kuchunga ng'ombe. Ilaaa mmmh
Everyday is Saturday............................... 😎