luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Ni vyema kumsikiliza Ndugai mara ya pili .Binafsi naona ana point lkn hili la kujiuliza eti sheria ilipitaje pitaje hapa KUNA KASORO yaan mnajiuliza ilipitaje pitaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Admin aliyekopi na pesti hakua hariri maana migugo kaiweka kama ilivyoSpika wa Bunge la Tanzania amesema Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo 'ICU' na kwa miaka mingi wadau wamekuwa wakinyamaza, lakini imefika mahali lazima ukweli usemwe.
Amesema "NARCO hawezi kufufuka, ile sio Ranchi. Mkitaka tuibadilishe iwe Hifadhi ya Wanyamapori. Hata Serikali iende inunue na kujaza ng'ombe hamtafanikiwa".
Ameongea hayo Bungeni wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Migugo na Uvuvi ambapo amesisitiza, "Sio kazi ya Serikali kuchunga ng'ombe. Achieni wenye kazi yao".
Yule hakuwa binadamu wa kawaida kuambiwa ukweli wala msiwacheke watu kama job . Nakwambia walimjua vizuri vitu ambavyo angefanya kwao ni zaidi ya unyama.Na ipo pole kongwa
Mbona hakumshauri mwendazake kuwa inakufa?
Wanapata wapi ardhi na vitendea kazi ?Hivi hao so called wawekezaji / wajuaji / wanaojua..., kwanini wasifungue zao tu na kuendelea nazo ?, Mpaka wapewe hizi za taifa ?
Ndiyo njia bora sana kuliko kuigawa kama pipi kwa watu ambao hawajui kutengeneza vyao wanataka vilivyoundwa baada ya kuona vyaeleaSerikali iwakopeshe mitaji vijana waliomaliza vyuo vya mifugo waendeshe hiyo ranchi kupunguza tatizo la unemployment
System restoreNaona kichwa cha spika kime restore settings.kiliathiriwa sana na chato virus
Yeye anaweza ila serikali haiweziNi mmoja ya wamiliki wa Ngombe na amepanga maeneo ya malisho huko, yuko na Agenda yake
Kipindi Cha mwendazake alikua ni mwendo wa kusifia ndugai ni mnafki sanaSpika wa Bunge la Tanzania amesema Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo 'ICU' na kwa miaka mingi wadau wamekuwa wakinyamaza, lakini imefika mahali lazima ukweli usemwe.
Amesema "NARCO hawezi kufufuka, ile sio Ranchi. Mkitaka tuibadilishe iwe Hifadhi ya Wanyamapori. Hata Serikali iende inunue na kujaza ng'ombe hamtafanikiwa".
Ameongea hayo Bungeni wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Migugo na Uvuvi ambapo amesisitiza, "Sio kazi ya Serikali kuchunga ng'ombe. Achieni wenye kazi yao".
Waqt mh lowassa alipokuwa waziri mkuu alitembelea kusini huko akakuta ranchi ina wafanyakazi kama mia hivi na wana ng"ombe mmoja mh lowassa akamchukua mkurugenzi ndani ya gari yake sijui kiliendelea nini kwa mkurugenzi ila ranchi ilifungwaMbona kitambo sana ilishajifia
Ova
DuhWaqt mh lowassa alipokuwa waziri mkuu alitembelea kusini huko akakuta ranchi ina wafanyakazi kama mia hivi na wana ng"ombe mmoja mh lowassa akamchukua mkurugenzi ndani ya gari yake sijui kiliendelea nini kwa mkurugenzi ila ranchi ilifungwa
Unatafuta tu kuniharibia siku yangu nzuri.Aione Kalamu1
Swali zuri sana mkuu wangu KeyserSooze.Hivi hao so called wawekezaji / wajuaji / wanaojua..., kwanini wasifungue zao tu na kuendelea nazo ?, Mpaka wapewe hizi za taifa ?
Tukaacha chache za mfano, kama mashamba elekezi. Mafisadi naona wanazitolea macho pia hizo.Hivi Ranchi za Taifa si zilibinafsishwa?
Upepo umechezesha Dish kwa bahati mbayaNaona sasa hivi mawimbi ya sabufa yanakamata kutoka satellite ya visiwani na siyo kanda ya ziwa tena,
Kipindi kile walisema Mamvi ndio kaifilisiKwa hiyo tufuate ushauri wake,tuibinafsishe sio,ila tutatafuta kama ni miongoni mwa wanaotamani kuwekeza hapo,ikiwa ni pamoja na washirika wa karibu.
Walisema Mamvi ndio kaifilisiHaikutoa gawio kwa mfalme kipindi kile ?
Hakuwa na raha kabisa wakati anaongea,nimemshuhudia ITV Habari saa 2 kamili usiku.Spika wa Bunge la Tanzania amesema Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo 'ICU' na kwa miaka mingi wadau wamekuwa wakinyamaza, lakini imefika mahali lazima ukweli usemwe.
Amesema "NARCO hawezi kufufuka, ile sio Ranchi. Mkitaka tuibadilishe iwe Hifadhi ya Wanyamapori. Hata Serikali iende inunue na kujaza ng'ombe hamtafanikiwa".
Ameongea hayo Bungeni wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Migugo na Uvuvi ambapo amesisitiza, "Sio kazi ya Serikali kuchunga ng'ombe. Achieni wenye kazi yao".
Kwani uwanja.wa Ndege Chato Meneja ,Ma V x,Wafanyakazi wengineo ,Pakoje Mkuu?!!!!Hatari Cha ajabu utakuta bado ina mkurugenzi,ana V8,linawekwa mafuta,na anaenda ofisini kusoma magazeti
Akili za Kipa katoka na Bosi kalewa hizi