Spika Ndugai: Kwa sasa mitandao ya kijamii ina nguvu sana

Spika Ndugai: Kwa sasa mitandao ya kijamii ina nguvu sana

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Kwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.

Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.

ndugai.jpg

My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
 
Kwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.

My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
 
juzi melazimika install VPN ili kupata connection
 
We Ndugai ulikuwa unaipuuza hujui kwanini huwa inazimwa maji yakitaka kuzidi unga kama 2020😆...ukibebwa na mbeleko jitahidi ujue mbeleko imefungwaje🐒
Wanamtandao ni moto chini na tunaweka kumbu kumbu sana
 
Simshangai Mh Ndugai bali nitamshangaa aliyeombwa huu msamaha kama ataamini huo msamaha na kilichosemwa kuwa kinatoka katika dhati ya moyo ya muomba msamaha na msifia mkopo. Gavana wa BOT aliye tolea ufafanuzi kuhusu nchi kupigwa mnada alisikiliza clip iliyo katwa ikaleta maana tofauti? Only in Tanzania.

Nafikiri wako wanasiasa wanawaona Watanzania ni matahira.
 
Kwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.

Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.


My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
Siyo tu kwamba wameanza. Walianza siku nyingi kwa kutunga sheria za makosa ya Mitandao kulinda maslahi Yao.
 
Kwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.

Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.


My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
Hayo ni matokeo ya bunge na serikali kujaa mazuzu hivyo kupoteza mvuto kwa jamii ,sasa jamii imetafuta bunge lake mtandaoni na serikali mtandaoni
 
Na moto wa Katiba Mpya muupate zaidi ya huo wa tozo na mikopo.
 
Bado hajaomba msamaha, kilichopo ni kuwa hajui/anajifanya hajui kosa lake. Akalishwe kikao, aelezwe kosa lake ndipo aje kuomba msamaha.
 
Hayo ni matokeo ya bunge na serikali kujaa mazuzu hivyo kupoteza mvuto kwa jamii ,sasa jamii imetafuta bunge lake mtandaoni na serikali mtandaoni

Kabisa, kazi iliyopaswa kufanywa na bunge, sasa inafanywa na mitandao. Huku mitandaoni ndio kuna mijadala halisi, kwenye media rasmi na bungeni kumebaki sehemu kusifia na kuabudu kila kitu cha serikali
 
Kwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.

Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.


My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
Mbona wanahofia kitambo tu unafikiri kwanini walizima wakati wa uchaguzi2020
 
Back
Top Bottom