Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Na bado !Kwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.
Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.
My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
Mbingu utaisikia aiseejuzi melazimika install VPN ili kupata connection
Hawa siyo viongozi ni majangili tupuKwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.
Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.
My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
Huku watu wapo huru hawahofii vyeoKabisa, kazi iliyopaswa kufanywa na bunge, sasa inafanywa na mitandao. Huku mitandaoni ndio kuna mijadala halisi, kwenye media rasmi na bungeni kumebaki sehemu kusifia na kuabudu kila kitu cha serikali
Huwezi kupoteza muda wako kuangalia wagonga mezaHayo ni matokeo ya bunge na serikali kujaa mazuzu hivyo kupoteza mvuto kwa jamii ,sasa jamii imetafuta bunge lake mtandaoni na serikali mtandaoni
Hivi unaweza kujiita shoga kama wewe sio shoga?Hivi ni kweli au kilikuwa kibwagizo tu cha kuongeza utamu bungeni?
Asilani!Hivi unaweza kujiita shoga kama wewe sio shoga?
Hili ndio jibu ila amini usiamini tayari watu milioni 35 ama zaidi sasa hivi wameshaelekea upande wa upepo huu wa leo,Simshangai Mh Ndugai bali nitamshangaa aliyeombwa huu msamaha kama ataamini huo msamaha na kilichosemwa kuwa kinatoka katika dhati ya moyo ya muomba msamaha na msifia mkopo. Gavana wa BOT aliye tolea ufafanuzi kuhusu nchi kupigwa mnada alisikiliza clip iliyo katwa ikaleta maana tofauti? Only in Tanzania.
Nafikiri wako wanasiasa wanawaona Watanzania ni matahira.
Kwa hiyo ndio amegundua leoKwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.
Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.
My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.
Makubwaaaa!!Hivi unaweza kujiita shoga kama wewe sio shoga?
Na hasa mijadala ikiwa na watu wasio na critical thinking...Tuwekeze kwenye elimu, maisha ya mbele hayana mjomba wala shangazi dunia itakuwa wazi na wenye akili, hekima na busara tu ndiyo watakao survive...Maana uovu umetamalaki mno mno na walioanzisha mitandao hiyo wao wana agenda yao permanent, sisi ma limbukeni ndiyo wenye shida kubwaWasingelikuwa wanajua nguvu yake wasingelitunga na kupitisha sheria za matumizi ya mitandao...
Hapo anajikosha tu, mkubwa kaamua kuchutama...
Huyu anataka mitandao ifungwe, anachuki binafsi kwa mitandao.Kwa mara ya kwanza kauli ya kiongozi mkuu wa Serikali kukili nguvu ya mitandao ya kijamii imetolewa na Spika Ndugai ambaye ni mkuu wa Mhimili wa Bunge Tanzania.
Mitandao siku hizi ina nguvu, inaweza ikatengeneza ajenda, ikapeleka ajenda ambako wala haikuwa, na mjadala ukawa ni wa moto sana." - Spika Job Ndugai.
My take:
Kwa kauli ile ni wazi Viongozi wameanza kuhofia mitandao ya kijamii.